chantete
Senior Member
- Nov 18, 2014
- 115
- 76
Kuna kitu kinanitatiza ndugu zangu kuhusu viumbe vya mwenyezi mungu tunajua jinsi vinavyozaliana sasa msaada wangu kwa wataalamu nisaidieni hawa Nzige na Senene wanazaliwaje?
Kwani kuna kipindi huwa wanapotea kabisa then wanatokea wengi sana sasa sijui huwa wanakuwa wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna kipindi huwa wanapotea kabisa then wanatokea wengi sana sasa sijui huwa wanakuwa wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app