Bail out: What does it mean?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wachumi na wajuziwahii sekta naombwa kujuzwa kwa lugha nyepesi maana ya hili neno bailout

Ireland nchi bayo ukisoma ni moja kati ya nchi zilizokuwa na uchumi mzuri zaidi ulaya kuliko hata England imekuwa bailedout.

  • Nini kimesababisha nchi hii kufikia katika hali hiyo?
  • Kwa nini tatizo hilo limetokea Ireland na sio Norway au Belgium?
  • Kwa nini Tanzania tusiombe kuwa bailed out?

NB:
Nimejaribu ku google na kuwikipedia tayari lakini sijaelewa hizi lugha za kichumi

Nawasilisha
 
Simple language; to help a person or an entity that is in difficulty.Mara nyingi hutumika katika masuala ya biashara, fedha na uchumi hasa pale zinapoonekana kufanya vibaya (usually by giving or lending them money). Mfano mzuri ni USA wakati wa financial crisis ambapo Obama alitoa fedha kwa ajili ya kuziokoa/kuzinusuru benki ambazo zilifanya vibaya katika biashara hasa mortgage. Kwa ujumla ni kunusuru.
 
Wachumi na wajuziwahii sekta naombwa kujuzwa kwa lugha nyepesi maana ya hili neno bailout

Ireland nchi bayo ukisoma ni moja kati ya nchi zilizokuwa na uchumi mzuri zaidi ulaya kuliko hata England imekuwa bailedout.

  • Nini kimesababisha nchi hii kufikia katika hali hiyo?
  • Kwa nini tatizo hilo limetokea Ireland na sio Norway au Belgium?
  • Kwa nini Tanzania tusiombe kuwa bailed out?

NB:
Nimejaribu ku google na kuwikipedia tayari lakini sijaelewa hizi lugha za kichumi

Nawasilisha

Nadhani ungekuwa a bit specific "Economic Bailout"
 
Simple language; to help a person or an entity that is in difficulty.Mara nyingi hutumika katika masuala ya biashara, fedha na uchumi hasa pale zinapoonekana kufanya vibaya (usually by giving or lending them money). Mfano mzuri ni USA wakati wa financial crisis ambapo Obama alitoa fedha kwa ajili ya kuziokoa/kuzinusuru benki ambazo zilifanya vibaya katika biashara hasa mortgage. Kwa ujumla ni kunusuru.

Ok mkuu nimeelewa na nimesoma mifano naona mifano ya makampuni kama ulivyosema lakini kwneye vyombo vya habari naona wanasema nchi ndo imekuwa bailed out. Na ninavyojua wenzetu wanasema serikali zao hazijihusihi na biashara. Au kwa nn tanzania tusiombe na sisi hiyo bail out ?

Nadhani ungekuwa a bit specific "Economic Bailout"
Powa mkuu ndo hivyo ukiingia anga usizoelewa makosa yapo .Kumbe kuna bailout za aina nyingi. Thanks kwa kunielimisha
 
Back
Top Bottom