Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,519
- 5,683
Soma id yake yake babu ndio chanzo hichohicho.Chanzo cha habari?
Soma id yake yake babu ndio chanzo hichohicho.Chanzo cha habari?
Usiwe mchoyo. Mshukuru Mungu kwa wote waliosalimika.Mpwa wangu ambaye ni sehemu ya abiria kanipigia simu km nusu saa iliyopita. Bahati mbaya mawasiliano hayakuwa mazuri,lakini namshukuru Mungu yeye katoka salama.
Labda mpaka TBC itangaze ndio ataridhika.Amekwambia kapigiwa simu na mdogo wake ambaye ni miongoni mwa abiria waliokuwemo. Bado unauliza chanzo cha habari. Serious??
😭😭 wameaga wangapYes, vifo vipo pia
Umefanya nini hadi wamekuchomaChanzo cha habari?
Ngoja wana assemble taarifa. Wanaelekea eneo la tukio.wameaga wangap
Amina sana KakaMpwa wangu ambaye ni sehemu ya abiria kanipigia simu km nusu saa iliyopita. Bahati mbaya mawasiliano hayakuwa mazuri,lakini namshukuru Mungu yeye katoka salama.
Umesoma vizuri?Chanzo cha ajali ni nini?
Tuzidi kumuomba Mungu atulinde kila sikuMwaka unaanza na treni tena!? Mungu tusaidie