MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 18,857
- 38,605
mwanaume unakuwaje model sasa mbona kutiana aibuNi model wa kiume
mwanaume unakuwaje model sasa mbona kutiana aibuNi model wa kiume
Wewe hizi ni career za watu usizitusi humuoni Frank Gongamwanaume unakuwaje model sasa mbona kutiana aibu
simjui huyo gongaWewe hizi ni career za watu usizitusi humuoni Frank Gonga
Hivi huyu "ndugu yenu" yupo wapi siku hizi. Simsikii kabisaInamaana hujui au unatania?
Huyu hapa chini waweza muitaje?
Koma wewe, ndugu yetu wamaanisha nini? nenda kamuulize kamanda Sepenga ndo alikuwa anawafuga kipindi yupo ndani ya chama cha kijani.Hivi huyu "ndugu yenu" yupo wapi siku hizi. Simsikii kabisa
Taratibu ndugu. Kwani si ni wa kiume mwenzenu ila kapitiwa tu na shetani?? Binadamu wote ni ndugu moja!Koma wewe, ndugu yetu wamaanisha nini? nenda kamuulize kamanda Sepenga ndo alikuwa anawafuga kipindi yupo ndani ya chama cha kijani.
Huwa sielewi mtoto wa kiume kubinua hivyo midomo mara sijui sijui uso anauwekaje nachukiaaa
Au Daxx ...hivi gonga bado anaendelea na haya mambo?Wewe hizi ni career za watu usizitusi humuoni Frank Gonga
Anafanya white parties lakini yuko kimya muda mrefuAu Daxx ...hivi gonga bado anaendelea na haya mambo?
hahahahaNahisi utakua ni wewe na girlfriend wako, ila picha ya pili inaonyesha mlipiga usiku, jitahidini kurudi nyumbani mapema wazazi tunaumia sana jamani
huyu angekuwa kijana wangu ningemkorogea nyongo ya mamba afilie mbali
mchicha mwiba angetaja mabwana zake wabunge mawaziri vigogo wasingebaki salama hivi ilee kesi yake na kigwangala iliishia wapi?Inamaana hujui au unatania?
Huyu hapa chini waweza muitaje?
Kuliko kumuua ukapata dhambi si bora umtafutie bwana akamuoa ukala zako mahari kisha akakutokea kwako na ufute kabisa jina lake kwenye orodha ya wanao?huyu angekuwa kijana wangu ningemkorogea nyongo ya mamba afilie mbali
wala si dhambi mahari sili ya jitu kama hili................Kuliko kumuua ukapata dhambi si bora umtafutie bwana akamuoa ukala zako mahari kisha akakutokea kwako na ufute kabisa jina lake kwenye orodha ya wanao?
Kigwa katulia kimya baada ya huyo mrembo kusema atataja mabwana zake wabunge na mawaziri, kwa hiyo mawaziri wenzake wakamfata kumoamba apotezee hili dude lisije amka maana hii vita haitaacha wabunge na mawaziri salama.mchicha mwiba angetaja mabwana zake wabunge mawaziri vigogo wasingebaki salama hivi ilee kesi yake na kigwangala iliishia wapi?
Basi muozeshe bure ili akutokee kwako.wala si dhambi mahari sili ya jitu kama hili................
hahaha hapana huyu namyonga kabisaBasi muozeshe bure ili akutokee kwako.