Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeomba mara ngapi.?!Ndugu wadau,
Tuna watu wamebobea kubeza hata kwa wasiyoyajua na wengine kujipa Ujuvi huku wakiwa mbumbumbu.
Mimi ni Dalali yes,
Lakini katika hili Tutasaidiana.
Uliza chochote- na buuure,
Nitakuambia, Ila ukinihitaji ana kwa ana UTAFIDIA Muda wangu,
Lakini kiungwana na kwa Roho Safi,
-Hunilipi.
Hakuna wa kuniongopea hii kitu naijua vilivyo,
Ashindwe Mtu mwenyewe kufikia vigezo na asiwe na BAHATI.
Lakini vikiwepo hivyo na kufuata taratibu, Mchongo umenyooka.
Kwa wale wazee wa kubeza na kuropoka msivyovijua,
Wala msiache,
Endeleeni tu,
Maana Dunia inawahitaji Wajinga pia.
Ukishinda unapata huduma kutoka serikali ya us ama unasota mwenyewe?
Binafsi,Mkuu dalalitz ni kweli wewe uliwahi kushinda hii bahati nasibu, au tu wote tunatafuta mkuu. Samahani lakini
Pole ndugu,utakuwa kweli una experience ya kutosha. Nitakutafuta baada ya kulogin ktk hiyo link na kusoma kilichomo "terms and conditions" za hiyo bahati nasibu.Mara kadhaa,
Huenda Sina BAHATI.
Naam,
Ni ile Bahatinasibu pekee na ya aina yake inayokuwezesha Mtanzania kuhamia MAREKANI,
Bila zengwe wala longolongo.
Itambulike,
Hii ni Bahati nasibu,
Inavyo vigezo na masharti maalumi a kufuata na kuzingatiwa,
Mojawapo ikiwa ni Elimu ya Juu kwa mifumo wa Elimu wa Marekani,
(Kuanzia KIDATO CHA NNE kwa TANZANIA)
Ni utaratibu wa kila mwaka kwa Nchi kadhaa teule,
TANZANIA tumo.
Ingawa zitakuwepo gharama (Ambazo hulipiwa UBALOZINI) kadiri mchakato unavyoendelea na endapo utachaguliwa,
Hatua kucheza Bahati hapa mwanzoni NI BURE.
Hata hivyo,
Unahitajika umakini kujua nini hasa kinatakiwa kujazwa ili kujiondolea uwezekano wa kuenguliwa mbeleni,
Hasa iwapo utafanya makosa wakati huu wa mwanzoni.
Narudia tena,
Utaratibu wa kuicheza ni BURE na hulazimiki kumtumia wakala kukuchezea ingawa kuepuka makosa ambayo yanaweza kukugharimu baadae ni vyema kumtumia Mtu ambae anajua na kufahamu nini kinahitajika kuanzia MWANZO,
NA HAPA NDIPO NINAPOKUJA MIMI.
Kwa gharama ndogo sana njoo tuelekezane,
Tubahatishe na tuombe Mungu huenda Bahati ikawa yako.
Nipigie:+255714591548.
La ikiwa unajiamini unaweza kufanya mwenye,
Soma maelezo kwa umakini kisha endelea,
Ila usisahau ukifanikiwa si vibaya unanikumbuka hata kwa vizawadi
https://travel.state.gov/content/da...Translations/DV-2020-Instructions-English.pdf
Nawasilisha.
Umecheza kwamba UKACHAGULIWA Kisha ukapangiwa Usaili ndipo ukakosa (Ukanyimwa Visa)Hii kitu nilishacheza sana ila kupata ni ngumu labda mtoa mada atueleze vigezo vingine nje ya ile Pdf
Mi nilishawah kucheza zaid ya mala 2 na nikawa makini kabisa kujaza ile form online na kuapload picha ambayo iko sawa na specifications walizozitoa lakini niliambulia patupu, naamini kuwa sijakosea kwasababu huo mchongo nilipewa na jamaa (Mtz)ambaye anaishi USA hivyo alinipa maelekezo yote nikayafuata....sasa sijui nilikosea nini......Umecheza kwamba UKACHAGULIWA Kisha ukapangiwa Usaili ndipo ukakosa (Ukanyimwa Visa)
Au hukuchaguliwa kabisa baada ya kuicheza kwa maana kuwa kukufanyi wa Usaili?
Ushaambiwa ni bahati nasibu sio lazima upate wewe si kuna wengine walipata ,kama huna bahati huna tu hata ucheze Mara milioniMi nilishawah kucheza zaid ya mala 2 na nikawa makini kabisa kujaza ile form online na kuapload picha ambayo iko sawa na specifications walizozitoa lakini niliambulia patupu, naamini kuwa sijakosea kwasababu huo mchongo nilipewa na jamaa (Mtz)ambaye anaishi USA hivyo alinipa maelekezo yote nikayafuata....sasa sijui nilikosea nini......
Mkuu ndio maana ikaitwa Bahati nasibu.Mi nilishawah kucheza zaid ya mala 2 na nikawa makini kabisa kujaza ile form online na kuapload picha ambayo iko sawa na specifications walizozitoa lakini niliambulia patupu, naamini kuwa sijakosea kwasababu huo mchongo nilipewa na jamaa (Mtz)ambaye anaishi USA hivyo alinipa maelekezo yote nikayafuata....sasa sijui nilikosea nini......
Mkuu unajua kabisa kuwa sitakutafuta, ni vyema utoe maelezo jukwaani Kwa faida ya sana darisalama wote ambazo wanapenda kushiriki.Tuwasiliane tafadhali:+255714591548