dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,325
- 1,848
TAARIFA MPYA
DV-2023 PROGRAM INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 6/10/2021,
MWISHO NI TAREHE 9/11/2021.
JIANDAE MAPEMA NA CHEZA MAPEMA.
HAISHAURIWI KUSUBIRIA TAREHE ZA MWISHONI.
UKIPENDA KUJUA NININI HASA HII PROGRAM INAHUSISHA, MASHARTI,VIGEZO NA TARATIBU ZA KUFUATA IKIWEMO FAIDA ZA KUSHIRIKI NA FAIDA AMBAZO UNAWEZA KUZIPATA IWAPO UTAFANIKIWA KUSHINDA, FUATAILIA MAPEMA NA KWA UTULIVU UZI HUU KWANI MICHANGO YA WADAU IPO YA KUTOSHA KUKUFUNGUA MASIKIO.
KWA MASWALI AU MSAADA WA USHAURI NIPIGIE SIMU WAKATI WOWOTE.
ANGALIZO:
KWA MAJADILIANO YA KUKUTANA ANA KWA ANA NAMI AU KUCHEZEWA/KUJAZA FOMU KWENYE MTANDAO,
ITAKUGHARIMU WEWE KUFIDIA MUDA WANGU,- KIUNGWANA.
SIMU/WHATSAPP: +255 714 59 15 48.
_____________________________________________________________________________________________
KWA WAFUATILIAJI WAPYA;
TOLEO LA TAREHE 24/8/2021.
Habari,
Kwa wale wenye nia na dhamira ya kushiriki bahati nasibu hii DV lottery 2023,
Nawakumbusha inatarajiwa kufuanguliwa ili kujaza form kwaajili ya kushiriki mungu akipenda mwanzoni mwa mwezi October, 2021.
Nachukuwa fursa hii kuwakumbusha kuwa safari hii ili uweze kushiriki ni lazima uwe na taarifa za Hati ya kusafiria, yaani Passport.
Kwa wale ambao watuna nyaraka hii hima tuombe ili tusiipoteze nafasi hii.
Kingine andaa picha yako za karibuni yaani Passport size digital photo ambayo vipimo vipo kwenye maelekezo ya DV kama nilivyoambatanisha hapa chini.
Chamsingi uwe:
1. Passport kwa (muombaji mkuu)
Picha ya passport-size pamoja na picha za mke/mume na watoto iwapo unao na wenye umri chini ya miaka 21.
Vilevile kumbuka iwako mkeo nae anavyo vigezo vya elimu au uzoefu wa kazi kama inavyotakiwa mnaweza kucheza wote kila mmoja tofauti kama muombaji mkuu na hivyo kuongeza nafasi ya kuweza kufanikiwa kwa wote wawili.
Lah kama kuna mahali unakwama usisite kunipigia mimi moja kwa moja simu;
+255714591548. Ili tuelekezane- BUREE KABISA.
La ukihitaji nikuchezee hapo itabidi ufidie muda wangu.
Nikutoe shaka lakini kuwa si kitu kigumu ingawa itatakiwa upitie kwa umakini maelekezo kwani ukivuruga mwanzo inaweza kukugharimu baadae.
Nawasilisha.
________________________________________________________________________
SHIME TUKUMBUSHANE WALE WA DV-2021 IMEANZA TAREHE 3/10.
NI ZOEZI LA MWEZI MMOJA TU.
WANASEMA KUCHEZA MAPEMA MUHIMU.
---------------------------------------
TAARIFA MPYA!!
1. DV-2021 INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 3/10/2019 HADI TAREHE 5/11/2019.
2.TAARIFA ZA HATI YA KUSAFIRIA ZA MUOMBAJI MKUU (Principal Applicant)
SASA NI LAZIMA ZIJUMUISHWE.
MAELEZO MENGINE YANABAKI KAMA YALIVYOKUWA AWALI.
PDF YA MZIGO MZIMA,
FANYA KUNI-WHATSAPP AU CHAKURA MWENYEWE.
(Najaribu kuweka hapa upenuni inagoma)
NAWASILISHA.
------------------------------------------------------
Naam,
Ni ile Bahatinasibu pekee ya aina yake inayokuwezesha Mtanzania kuhamia MAREKANI bila zengwe wala longolongo.
Itambulike;
Hii ni Bahati nasibu hivyo inavyo vigezo na masharti maalum ya kufuatwa/kuzingatiwa.
Mojawapo ikiwa ni Elimu ya Juu kwa kulinganisha na mfumo wa Elimu wa Marekani-(Kuanzia KIDATO CHA NNE kwa TANZANIA)
Ni utaratibu unaofanyika wakati maalum tu kila mwaka.
Ikihusisha Nchi teule kadhaa
TANZANIA tumo.
Ingawa zitakuwepo gharama (Ambazo hulipiwa UBALOZINI) kadiri mchakato unavyoendelea na endapo utachaguliwa,
Hatua kucheza Bahati nasibu yenyewe NI BURE.
Hata hivyo,
Unahitajika umakini kujua nini hasa kinatakiwa kujazwa ili kujiondolea uwezekano wa kuenguliwa mbeleni,
Hasa iwapo utafanya makosa wakati huu wa mwanzoni.
Narudia tena,
Utaratibu wa kuicheza ni BURE na hulazimiki kumtumia wakala/Mimi kukuchezea ingawa kuepuka makosa ambayo yanaweza kukugharimu baadae ni vyema kumtumia Mtu ambae anajua na kufahamu nini kinahitajika kuanzia MWANZO,
NA HAPA NDIPO NINAPOKUJA MIMI.
Kwa gharama ndogo sana njoo tuelekezane,
Tubahatishe na tuombe Mungu huenda Bahati ikawa yako.
Nipigie:+255714591548.
La ikiwa unajiamini unaweza kufanya mwenyewe, Yote kheri mimi sio Mchoyo,
Nakuwekea njia ushindwe mwenyewe.
Soma maelezo kutoka kwenye link hapa chini KWA UMAKINI kisha Endelea ujaze form ya BAHATI NASIBU yenyewe.
Ila usisahau, ukifanikiwa si vibaya ukanikumbuka hata kwa vizawadi hapo baadae.
https://travel.state.gov/content/da...Translations/DV-2020-Instructions-English.pdf
Nawasilisha.
DV-2023 PROGRAM INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 6/10/2021,
MWISHO NI TAREHE 9/11/2021.
JIANDAE MAPEMA NA CHEZA MAPEMA.
HAISHAURIWI KUSUBIRIA TAREHE ZA MWISHONI.
UKIPENDA KUJUA NININI HASA HII PROGRAM INAHUSISHA, MASHARTI,VIGEZO NA TARATIBU ZA KUFUATA IKIWEMO FAIDA ZA KUSHIRIKI NA FAIDA AMBAZO UNAWEZA KUZIPATA IWAPO UTAFANIKIWA KUSHINDA, FUATAILIA MAPEMA NA KWA UTULIVU UZI HUU KWANI MICHANGO YA WADAU IPO YA KUTOSHA KUKUFUNGUA MASIKIO.
KWA MASWALI AU MSAADA WA USHAURI NIPIGIE SIMU WAKATI WOWOTE.
ANGALIZO:
KWA MAJADILIANO YA KUKUTANA ANA KWA ANA NAMI AU KUCHEZEWA/KUJAZA FOMU KWENYE MTANDAO,
ITAKUGHARIMU WEWE KUFIDIA MUDA WANGU,- KIUNGWANA.
SIMU/WHATSAPP: +255 714 59 15 48.
_____________________________________________________________________________________________
KWA WAFUATILIAJI WAPYA;
TOLEO LA TAREHE 24/8/2021.
Habari,
Kwa wale wenye nia na dhamira ya kushiriki bahati nasibu hii DV lottery 2023,
Nawakumbusha inatarajiwa kufuanguliwa ili kujaza form kwaajili ya kushiriki mungu akipenda mwanzoni mwa mwezi October, 2021.
Nachukuwa fursa hii kuwakumbusha kuwa safari hii ili uweze kushiriki ni lazima uwe na taarifa za Hati ya kusafiria, yaani Passport.
Kwa wale ambao watuna nyaraka hii hima tuombe ili tusiipoteze nafasi hii.
Kingine andaa picha yako za karibuni yaani Passport size digital photo ambayo vipimo vipo kwenye maelekezo ya DV kama nilivyoambatanisha hapa chini.
Chamsingi uwe:
1. Passport kwa (muombaji mkuu)
Picha ya passport-size pamoja na picha za mke/mume na watoto iwapo unao na wenye umri chini ya miaka 21.
Vilevile kumbuka iwako mkeo nae anavyo vigezo vya elimu au uzoefu wa kazi kama inavyotakiwa mnaweza kucheza wote kila mmoja tofauti kama muombaji mkuu na hivyo kuongeza nafasi ya kuweza kufanikiwa kwa wote wawili.
Lah kama kuna mahali unakwama usisite kunipigia mimi moja kwa moja simu;
+255714591548. Ili tuelekezane- BUREE KABISA.
La ukihitaji nikuchezee hapo itabidi ufidie muda wangu.
Nikutoe shaka lakini kuwa si kitu kigumu ingawa itatakiwa upitie kwa umakini maelekezo kwani ukivuruga mwanzo inaweza kukugharimu baadae.
Nawasilisha.
________________________________________________________________________
SHIME TUKUMBUSHANE WALE WA DV-2021 IMEANZA TAREHE 3/10.
NI ZOEZI LA MWEZI MMOJA TU.
WANASEMA KUCHEZA MAPEMA MUHIMU.
---------------------------------------
TAARIFA MPYA!!
1. DV-2021 INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 3/10/2019 HADI TAREHE 5/11/2019.
2.TAARIFA ZA HATI YA KUSAFIRIA ZA MUOMBAJI MKUU (Principal Applicant)
SASA NI LAZIMA ZIJUMUISHWE.
MAELEZO MENGINE YANABAKI KAMA YALIVYOKUWA AWALI.
PDF YA MZIGO MZIMA,
FANYA KUNI-WHATSAPP AU CHAKURA MWENYEWE.
(Najaribu kuweka hapa upenuni inagoma)
NAWASILISHA.
------------------------------------------------------
Naam,
Ni ile Bahatinasibu pekee ya aina yake inayokuwezesha Mtanzania kuhamia MAREKANI bila zengwe wala longolongo.
Itambulike;
Hii ni Bahati nasibu hivyo inavyo vigezo na masharti maalum ya kufuatwa/kuzingatiwa.
Mojawapo ikiwa ni Elimu ya Juu kwa kulinganisha na mfumo wa Elimu wa Marekani-(Kuanzia KIDATO CHA NNE kwa TANZANIA)
Ni utaratibu unaofanyika wakati maalum tu kila mwaka.
Ikihusisha Nchi teule kadhaa
TANZANIA tumo.
Ingawa zitakuwepo gharama (Ambazo hulipiwa UBALOZINI) kadiri mchakato unavyoendelea na endapo utachaguliwa,
Hatua kucheza Bahati nasibu yenyewe NI BURE.
Hata hivyo,
Unahitajika umakini kujua nini hasa kinatakiwa kujazwa ili kujiondolea uwezekano wa kuenguliwa mbeleni,
Hasa iwapo utafanya makosa wakati huu wa mwanzoni.
Narudia tena,
Utaratibu wa kuicheza ni BURE na hulazimiki kumtumia wakala/Mimi kukuchezea ingawa kuepuka makosa ambayo yanaweza kukugharimu baadae ni vyema kumtumia Mtu ambae anajua na kufahamu nini kinahitajika kuanzia MWANZO,
NA HAPA NDIPO NINAPOKUJA MIMI.
Kwa gharama ndogo sana njoo tuelekezane,
Tubahatishe na tuombe Mungu huenda Bahati ikawa yako.
Nipigie:+255714591548.
La ikiwa unajiamini unaweza kufanya mwenyewe, Yote kheri mimi sio Mchoyo,
Nakuwekea njia ushindwe mwenyewe.
Soma maelezo kutoka kwenye link hapa chini KWA UMAKINI kisha Endelea ujaze form ya BAHATI NASIBU yenyewe.
Ila usisahau, ukifanikiwa si vibaya ukanikumbuka hata kwa vizawadi hapo baadae.
https://travel.state.gov/content/da...Translations/DV-2020-Instructions-English.pdf
Nawasilisha.