Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,159
- 3,997
Mtoto Bahati S/o CORNEL, Mchaga, 8 yrs old, M/Funzi Umbwe primary school, Darasa la tano.
Mtoto huyu yupo hapa police Kawe ambapo alijieleza kuwa amepotea, alikuja jijini DSM akitokea mkoani Kilimanjaro ambako ndiko anakoishi na Baba yake Mzazi aitwae CORNEL JOSEPH MASAWE, ambae anafanya kazi Kiwanda cha COTEX UMBWE.
Mtoto huyo alifika DSM tarehe 05/07/2020 kwa gari za kudandia, tunaomba taarifa hizi zisambazwe kwenye groups zingine kwa msaada zaidi.
Mtoto huyu yupo hapa police Kawe ambapo alijieleza kuwa amepotea, alikuja jijini DSM akitokea mkoani Kilimanjaro ambako ndiko anakoishi na Baba yake Mzazi aitwae CORNEL JOSEPH MASAWE, ambae anafanya kazi Kiwanda cha COTEX UMBWE.
Mtoto huyo alifika DSM tarehe 05/07/2020 kwa gari za kudandia, tunaomba taarifa hizi zisambazwe kwenye groups zingine kwa msaada zaidi.