Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,803
- 8,794
Hili ni gonjwa baya sana tena sana bora bahari upate matatizo mengine lakini mpigo uwe na uhai la sivyo utajuta hasa uwe na mke.
Mtaani kwangu kuna aibu zinaibuka kila uchwao hivi nyumba aliyeweka kuta za nyumba alikuwa na akili na busara nyingi. Wanaume wanavaa na kupendeza usiku mpingo hauna kazi.
Baharia mwenzangu kaa mbali na sukari. Hizi gym zinajaa watu wanaogopa sugar. Nina rafiki yangu akilala anaiwekea mkono kuilinda. Ama anakula kwa macho.
Mtaani kwangu kuna aibu zinaibuka kila uchwao hivi nyumba aliyeweka kuta za nyumba alikuwa na akili na busara nyingi. Wanaume wanavaa na kupendeza usiku mpingo hauna kazi.
Baharia mwenzangu kaa mbali na sukari. Hizi gym zinajaa watu wanaogopa sugar. Nina rafiki yangu akilala anaiwekea mkono kuilinda. Ama anakula kwa macho.