Haiitwi Bahari bila maji,kutokana na Maji kila kitu kikawa hai. Naam nasema tena kikawa hai.
Tunaambiwa Baharini kuna jinsi ya viumbe vingi sana kwa idadi kushinda huku bara. Naam tena wengi hasa.
Kupitia Baharini, vyombo vikubwa huambaa na kubeba shehena ya mizigo mingi na mikubwa kuzidi njia nyingine yoyote. Huu ni ukweli usio na shaka.
Ila hakika hali wa shani hivi punde Bahari itaonya. Nasema tena Bahari itaonya.
Sasa Bahari imechafuka.
Tunaambiwa Baharini kuna jinsi ya viumbe vingi sana kwa idadi kushinda huku bara. Naam tena wengi hasa.
Kupitia Baharini, vyombo vikubwa huambaa na kubeba shehena ya mizigo mingi na mikubwa kuzidi njia nyingine yoyote. Huu ni ukweli usio na shaka.
Ila hakika hali wa shani hivi punde Bahari itaonya. Nasema tena Bahari itaonya.
Sasa Bahari imechafuka.