Bahari huenda ikawa bara la saba duniani na miji ya kisasa kujengwa ndani yake kwa sababu zifuatazo

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Aug 9, 2018
449
408
Majaribio mbali mbali yamekwisha faulu kuhusu kuishi ndani ya maji Bahani mfano kuundwa kwa nyambizi na hotel za kitalii chini ya bahari mfano mjini Unguja Zanzibar.

Wingi wa watu duniani,dunia timesuhudia uhaba wa ardhi na kupelekea migogoro kama Zimbabwe,Afrika ya Kusini a kwingineko,maeneo ya maziko ni shida sababu ya wingi wa watu

Utalii na kadhalika

Nb: filamu m maarufu ya black Pànther iliyoigizwa na msAnii toka Kenyà lupita hAmjamtendea haki mwandishi wa vitabu vya kiingereza vya watoto aliebuni aina ya Ndege mlizozitumia jina LA kitabu millet Chenye picha ya mtoto mwàfrika wa kiume alievaa cheni kubwa shingoni na kuzingirwa na kimbunga

Instagram:kaukwaju
 
Majaribio mbali mbali yamekwisha faulu kuhusu kuishi ndani ya maji Bahani mfano kuundwa kwa nyambizi na hotel za kitalii chini ya bahari mfano mjini Unguja Zanzibar.

Wingi wa watu duniani,dunia timesuhudia uhaba wa ardhi na kupelekea migogoro kama Zimbabwe,Afrika ya Kusini a kwingineko,maeneo ya maziko ni shida sababu ya wingi wa watu

Utalii na kadhalika

Nb: filamu m maarufu ya black Pànther iliyoigizwa na msAnii toka Kenyà lupita hAmjamtendea haki mwandishi wa vitabu vya kiingereza vya watoto aliebuni aina ya Ndege mlizozitumia jina LA kitabu millet Chenye picha ya mtoto mwàfrika wa kiume alievaa cheni kubwa shingoni na kuzingirwa na kimbunga

Instagram:kaukwaju
Mbona haueleweki, alafu dunia haiewez kujaa watubwakakosa sehemu za kuishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nb: filamu m maarufu ya black Pànther iliyoigizwa na msAnii toka Kenyà lupita hAmjamtendea haki mwandishi wa vitabu vya kiingereza vya watoto aliebuni aina ya Ndege mlizozitumia jina LA kitabu millet Chenye picha ya mtoto mwàfrika wa kiume alievaa cheni kubwa shingoni na kuzingirwa na kimbunga

Instagram:kaukwaju
Black Panther imeanza kusimuliwa toka mwaka 1966!.
 
Ungesema walioko sehemu zenye idadi kubwa ya watu na miji yenye misongamano hawataki kutoka. Wanadhani fursa zao ziko huko tu kumbe ni fikra tu.

Hakika dunia bado sana ili kuijaza. Wanaofanya hivyo ni ubunifu unaowapelekea wao kupata pesa.

Utajiri wako ni pale unapotumia wazo chanya huku mwenzio ukimfanya aamini kinyume chake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom