Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
True 100%Ni kwasababu unadhani kila anayechangia humu ni mwanasiasa kama wewe!Hii JF ilipoanza, nyie wanasiasa mlikuwa wasomaji tu! Hadi mlipobanwa mkawa hamwezi kusoma bila kujiandikisha umember ndo mkaanza taratiibu kujiandikisha, baadaye mkageuza ni sehemu ya ligi za kisiasa badala ya "brainstorming think tank", where we dare to talk openly!
Mwanasiasa wa kwanza kuonyesha ujasiri huo alikuwa ni Mbowe, akafuatiwa na Dr Slaa, the Zitto, wengine mmebakia ID fake tu na kuandika pointless pumba tu kulinda maslahi ya matumbo yenu.