Bagamoyo: Meli ya Mizigo yaungua moto ikiwa bandari ya Bagamoyo

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,490
54,884
Meli ya ya Kampuni ya Ocean Enterprises Limited ya Zanzibar ijulikanayo kama LCT Rahimu imewaka moto mapema leo ikiwa katika bandari ya Bagamoyo.
IMG-20180814-WA0005.jpg

Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo, Fatuma Latu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kutaja chanzo chake kuwa ni hitilafu ya umeme wakati mafundi wakijaribu kuchomelea mlango wa meli hiyo kwa kutumia umeme wa jenereta iliyokuwa ndani yake.

Amesema vyombo vya zimamoto na uokoaji vimefanikiwa kuzima moto huo na kwamba nahodha kwa sasa anahojiwa na vyombo vya usalama ii kupata maelezo zaidi.

Inadaiwa kuwa meli hiyo imetokea visiwani Zanzibar na ilikuwa bandarini hapo ikisubiri shehena ya kokoto kwa ajili ya kuipeleka Zanzibar.
 
Back
Top Bottom