BAF YA MZUMBE VS BAF YA ARDHI and MUCCOBS

Danp36

JF-Expert Member
Jul 31, 2010
2,096
920
wana jamvi msaada.eti kati ya vyuo viwili hivyo ,kipi kizuri kwa kutoa BAF niweke chaguo la kwanza?
 
wana jamvi msaada.eti kati ya vyuo viwili hivyo ,kipi kizuri kwa kutoa BAF niweke chaguo la kwanza?

na declare interest,mimi ni mwanafunzi Baf Muccobs, napenda kuchukua mda kidogo kukuelezea mambo yanavyoenda kuliko kung'ang'ana na ushauri usiyo na reasons, kijana BAF zote ni nzuri zinafanana na zinatofautiana course contents na malengo pia. Mfano course content za mzumbe ni Tano,muccobs Saba na Ardhi nane,Kwa upande wa muccobs kuna course za ziada kila semister ambazo mwana Mzumbe atakaa hazizome,na kila course ya mwana Mzumbe inapatikana Muccobs, Muccobs ni chuo si mahali pa kuja kucheza kwani Mr Boa,mama haren,matogoro,Dr mwende,mama mwende, nk watakuvuta shart mapema. Ufaulu wetu ni 50% while mzumbe wako 41%,kupitia baf ya muccobs unaweza kufanya kazi za Accounting zote kuanzia bank,public entities,private entities,cooperative org nk,QUALIFICATION NI Cut Off points ni 4.5 yenye atleast two principle pass. HATARI: kama wewe hujasoma a/c mahali popote na hauna uelewa na a/c, Baf ya muccobs si mahali pako kwani utasoma kwa majuto na manung'uniko kwani lectures utaziona kaa la moto, take it from me.
 
na declare interest,mimi ni mwanafunzi Baf Muccobs, napenda kuchukua mda kidogo kukuelezea mambo yanavyoenda kuliko kung'ang'ana na ushauri usiyo na reasons, kijana BAF zote ni nzuri zinafanana na zinatofautiana course contents na malengo pia. Mfano course content za mzumbe ni Tano,muccobs Saba na Ardhi nane,Kwa upande wa muccobs kuna course za ziada kila semister ambazo mwana Mzumbe atakaa hazizome,na kila course ya mwana Mzumbe inapatikana Muccobs, Muccobs ni chuo si mahali pa kuja kucheza kwani Mr Boa,mama haren,matogoro,Dr mwende,mama mwende, nk watakuvuta shart mapema. Ufaulu wetu ni 50% while mzumbe wako 41%,kupitia baf ya muccobs unaweza kufanya kazi za Accounting zote kuanzia bank,public entities,private entities,cooperative org nk,QUALIFICATION NI Cut Off points ni 4.5 yenye atleast two principle pass. HATARI: kama wewe hujasoma a/c mahali popote na hauna uelewa na a/c, Baf ya muccobs si mahali pako kwani utasoma kwa majuto na manung'uniko kwani lectures utaziona kaa la moto, take it from me.

100% nakubaliana na wewe!
 
100% nakubaliana na wewe!

mh,wastani mzumbe ni 50,hiyo 41 sijuhi jamaa kaota au vipi,pili,kwa uhuru wangu wa mawazo,wingi wa masomo si uzuri wa course,mfano,hakuna chuo chochote kizuri ambacho wanasoma masomo nane kwa semista,kama kipo niambie,anzia na harvad,uzuri wa course unategemea sana uzuri wa waalimu,maswala ya kufelishwa kuwa kigezo tuyaache kwa madogo wa sekondari,maana kwa mfumo ulio mzuri wa elimu,mnapofeli sana ni dalili ya kutoelewa
 
na declare interest,mimi ni mwanafunzi baf muccobs, napenda kuchukua mda kidogo kukuelezea mambo yanavyoenda kuliko kung'ang'ana na ushauri usiyo na reasons, kijana baf zote ni nzuri zinafanana na zinatofautiana course contents na malengo pia. Mfano course content za mzumbe ni tano,muccobs saba na ardhi nane,kwa upande wa muccobs kuna course za ziada kila semister ambazo mwana mzumbe atakaa hazizome,na kila course ya mwana mzumbe inapatikana muccobs, muccobs ni chuo si mahali pa kuja kucheza kwani mr boa,mama haren,matogoro,dr mwende,mama mwende, nk watakuvuta shart mapema. Ufaulu wetu ni 50% while mzumbe wako 41%,kupitia baf ya muccobs unaweza kufanya kazi za accounting zote kuanzia bank,public entities,private entities,cooperative org nk,qualification ni cut off points ni 4.5 yenye atleast two principle pass. Hatari: Kama wewe hujasoma a/c mahali popote na hauna uelewa na a/c, baf ya muccobs si mahali pako kwani utasoma kwa majuto na manung'uniko kwani lectures utaziona kaa la moto, take it from me.

apex umenifungua akili asante.na ushaur wenu wengine umenipanua akili
 
We kijana,acha kudanganyka,kama unataka kusoma baf,nenda mzumbe.faida mojawapo ya kusoma baf ya mzumbe ni unapata exemption wakati wa kufanya mitihani ya ACCA,vile vile mzumbe atleast jina lake linaweza kukuuza kwa waajiri.sasa,huko sijui muccobs,nani kwanza hata anapajua?
 
Halafu nasikia watoto wa MUCCOBs Wanang'oa kishenzi CPA,kuna mwalimu wao mmoja wa a/c anaitwa mwakilema centre yake last year ilitoa wanafunzi 19 wa CPA
 
Halafu nasikia watoto wa MUCCOBs Wanang'oa kishenzi CPA,kuna mwalimu wao mmoja wa a/c anaitwa mwakilema centre yake last year ilitoa wanafunzi 19 wa CPA

Muccobs ni wapi jamani ..?? Kipo wapi hicho chuo
 
Halafu nasikia watoto wa MUCCOBs Wanang'oa kishenzi CPA,kuna mwalimu wao mmoja wa a/c anaitwa mwakilema centre yake last year ilitoa wanafunzi 19 wa CPA
weeee!!!!! Hiyo center ni nzuri zaid ya center ya Rashid mganwa mkuuu!!!!
 
mi sipati picha kuhusu hii BAF,hivi mtu anweza kubobea kwenye Finance na Account kwenye first degree kwa wakati mmoja? Hii course naona kama iko general au vague sana ndo maana mlimani haipo

Poor reasoning!! U deserve not to be a g.t!!
 
Back
Top Bottom