Kampuni ya vifaa vya ulinzi ya BAE ya uingereza imekubali kulipa serikali ya Tanzania moja kwa moja kiasi cha 47 USD million kufidia malipo ya ziada ya ununuzi tata wa rada.SWALI..je zitarudi katika akaunti gani?isije ikawa kama EPA,bora wawalipe wastaafu wa EAC wanaodai toka 1977
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.