BAE SYSTEM wakubali kurudisha "vijsent" vyetu

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Hatimae kampuni ya BAE SYSTEM ambayo iliiuzia tanzania rada imekubali kuilipa tanzania chenji moja kwa moja bila masharti,,,,,,,,,
 
AnOther mtaji wa kisiasa kwa Mr membe,naibu spika na wajumbe wake
 
Kampuni ya vifaa vya ulinzi ya BAE ya uingereza imekubali kulipa serikali ya Tanzania moja kwa moja kiasi cha 47 USD million kufidia malipo ya ziada ya ununuzi tata wa rada.SWALI..je zitarudi katika akaunti gani?isije ikawa kama EPA,bora wawalipe wastaafu wa EAC wanaodai toka 1977
 
Na huyu aliefanya monkey bussines nae akubali ajivue gamba!afa akanyee debe kama kaka lyumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom