Badru wa HESLB tambua wote ni wahitaji epuka matabaka!

NewPage

JF-Expert Member
Mar 22, 2021
1,281
2,020
Hivi karibuni niliandika uzi huu:


Hata hivyo Badru bado anajisifia kuwa walioangaliwa Zaidi kwenye mikopo ni wale watoto wenye uhitaji zaidi wanaotoka familia duni.

Ukweli hajui watoto wa wale unaowafikiri wazazi wao wana ahueni wanvyosota mavyuoni kwa kukosa mikopo Hawa hawapati cha accommodation, meal wala tution fees. Wanajihangaikia tu wakati wenzao hata fedha za field wanakopeshwa. Kuna chuki kubwa sana kati ya hawa watoto wa matabaka mawili - kwanza ambao mnawapatia mikopo kwa kuamini wazazi wao wana uwezo duni wanachukiwa sana na wale ambao mmewaacha ambao mnawabambika majina ya kihuni kuwa wana uwezo wa kusoemsha watototo wao.

Kumbukeni mnakopesha watoto sio wazazi. Tena wahanga wakubwa watoto wa watumishi wa umma ambao mnanyima mikopo kwa makusudi kabisa. Tena watumishi wa umma hawa ni wale wasioa na mishahara mikubwa na pia hata mishahara hiyo haijapandishwa Zaidi ya miaka mitano sasa.

Badru ameshindwa hata kutambua kuwa wanaonyanyasika ni watoto na sio hata wazazi kwa sababu hawa watoto wanasota wakati wanachotakiwa kupata ni mikopo ambayo watakuja ilipa wao na si wazazi wao. Badru kajitoa ufahamu kabisa kwa hili!
 
Kwani mikopo ambayo imeshatoka takwimu zinaonesha vipi ili uweze Ku "back up" haya unayoyaelezea
 
Hivi karibuni niliandika uzi huu:


Hata hivyo Badru bado anajisifia kuwa walioangaliwa Zaidi kwenye mikopo ni wale watoto wenye uhitaji zaidi wanaotoka familia duni.

Ukweli hajui watoto wa wale unaowafikiri wazazi wao wana ahueni wanvyosota mavyuoni kwa kukosa mikopo Hawa hawapati cha accommodation, meal wala tution fees. Wanajihangaikia tu wakati wenzao hata fedha za field wanakopeshwa. Kuna chuki kubwa sana kati ya hawa watoto wa matabaka mawili - kwanza ambao mnawapatia mikopo kwa kuamini wazazi wao wana uwezo duni wanachukiwa sana na wale ambao mmewaacha ambao mnawabambika majina ya kihuni kuwa wana uwezo wa kusoemsha watototo wao.

Kumbukeni mnakopesha watoto sio wazazi. Tena wahanga wakubwa watoto wa watumishi wa umma ambao mnanyima mikopo kwa makusudi kabisa. Tena watumishi wa umma hawa ni wale wasioa na mishahara mikubwa na pia hata mishahara hiyo haijapandishwa Zaidi ya miaka mitano sasa.

Badru ameshindwa hata kutambua kuwa wanaonyanyasika ni watoto na sio hata wazazi kwa sababu hawa watoto wanasota wakati wanachotakiwa kupata ni mikopo ambayo watakuja ilipa wao na si wazazi wao. Badru kajitoa ufahamu kabisa kwa hili!
Uonevu ni mkubwa sana
 
Vigezo vilivyotumika na HESLB ni upumbavu wa hali ya juu. Elimu ya chuo kikuu kwa wastani gharama zake ni kubwa mno kuachiwa mzazi pekee.

Tukumbuke chuo sio kama sekondari, mtoto anajitegemea kila kitu, chakula, malazi na mavazi.

Sasa hawa mbumbumbu wa HESLB wanaona mtoto aliyesoma shule ya 1.5m kwa mwaka ni tajiri sana, wakati wengi wamesoma kwa support ya ndugu.

Mama Samia aachane na sera za roho mbaya za awamu ya tano, ikiwezekana apangue safu ya uongozi hapo HESLB.
 
Back
Top Bottom