figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,490
- 54,884
tulijua watu watajichanganya sana.
vyama vyote vikaa kuwaza upande wa mashariki mwa tanzania kama sehemu ya kuanzia harakati za mageuzi.lakini sisi tunaanzia magharibi.wakati nyinyi mnalala sisi tunawaangalia.hatimae tumeikamata kigoma,Ngara.sasa tunasonga kuja mashariki.tunaomba njia.mipango yetu ya kwanza ilikua samwel Ruhuza aka SAM ashinde jimbo la Ngara lakini Ntukamazina akachakachua.sasa hivi tunalenga kusini.kusini,sikia tunakuja sasa,2015 PATACHIMBIKA.roger.
vyama vyote vikaa kuwaza upande wa mashariki mwa tanzania kama sehemu ya kuanzia harakati za mageuzi.lakini sisi tunaanzia magharibi.wakati nyinyi mnalala sisi tunawaangalia.hatimae tumeikamata kigoma,Ngara.sasa tunasonga kuja mashariki.tunaomba njia.mipango yetu ya kwanza ilikua samwel Ruhuza aka SAM ashinde jimbo la Ngara lakini Ntukamazina akachakachua.sasa hivi tunalenga kusini.kusini,sikia tunakuja sasa,2015 PATACHIMBIKA.roger.