Bado unawaza utaanzaje ujenzi? Anza na hii kwa mchanganuo huu

Watu wanabisha kwenye kunyanyua level ya kupaua kwa 7m

Unajua haya mambo yanategemea vitu vingi sana, mfano. Ikiwa kiwanja kipo tambarare (kipo usawa unaolingana) tofali hazitaenda nyingi kwenye msingi.

Tofauti ya kwanza kwenye gharama inaanzia hapo. Mwingine atatumia tofali 2000 kwa msingi pekee huku mwingine akifukia tofali hadi 3000.

Tunakuja kwenye nondo za lenta na mkanda baada ya msingi. Kuna watu wanaweka nondo moja, wengine tatu na wengine nne. Hapo gharama zitatofautiana tu.

Fundi wa ujenzi anakula ngapi hapo kati ya hiyo 7M ili ibaki ya tofali, cement, kokoto, nondo, maji na mbao za kukodi?
 
1. Hiyo bati ni migongo mipana gauge 28 nimetumia reference ya bei za sunshare (naamini ndio wengi wanaifaham kwa reference ya mdau humu jf)
2. Yes mbao ni treated
3. Upo sahihi na kwa vyovyote gharama haziwezi kuwa exactly, bali zinaweza kupungua kidogo au kuongezeka kidogo

Mh! Hapo kwa hiyo nyumba bati running meter ngapi? Na bei ya meter moja Sunshine ni kiasi gani kwa gauge 28?

Hizo mbao kwa bati la contemporary sawa, ila hizi bati za kuinuka juu zinaenda mbao nyingi sana. Naona kama makadirio yapo chini.

Lakini inawezekana una uzoefu na kujua maeneo vitu vinapatikana kwa bei nzuri.

Sio kwa vile mwingine alipigwa basi ndio bei ya vitu ilivyo. Kufanya utafiti kabla ya kununua vitu inaepusha gharama zinazoepukika.
 
Mahesabu ya vifaa yako juu sana mfano hizo nondo 70 kwenye nyumba ya chini kama hiyo zinakaa wapi au ndio unajilipa kwenye vifaa
 
Kwa haraka haraka tu, mchanga wa laki 3 hauwezi jenga hiyo nyumba yote...(at least kwa mkoa kama Dar)

Labda utueleze wingi/ujazo wa mchanga wa laki tatu kwa huko ulipo...
 
Kwa haraka haraka tu, mchanga wa laki 3 hauwezi jenga hiyo nyumba yote...(at least kwa mkoa kama Dar)

Labda utueleze wingi/ujazo wa mchanga wa laki tatu kwa huko ulipo...

Mfano mkoa wa tanga wilaya x tipa la mchanga ni elfu 70
 
Unajua haya mambo yanategemea vitu vingi sana, mfano. Ikiwa kiwanja kipo tambarare (kipo usawa unaolingana) tofali hazitaenda nyingi kwenye msingi.

Tofauti ya kwanza kwenye gharama inaanzia hapo. Mwingine atatumia tofali 2000 kwa msingi pekee huku mwingine akifukia tofali hadi 3000.

Tunakuja kwenye nondo za lenta na mkanda baada ya msingi. Kuna watu wanaweka nondo moja, wengine tatu na wengine nne. Hapo gharama zitatofautiana tu.

Fundi wa ujenzi anakula ngapi hapo kati ya hiyo 7M ili ibaki ya tofali, cement, kokoto, nondo, maji na mbao za kukodi?
Upo sahihi Chief.

Gharama Ya fundi haipo kwenye hiyo 7m, wala kwenye upauaji, nimeeleza hapo
 
Kwa haraka haraka tu, mchanga wa laki 3 hauwezi jenga hiyo nyumba yote...(at least kwa mkoa kama Dar)

Labda utueleze wingi/ujazo wa mchanga wa laki tatu kwa huko ulipo...
Upo sahihi boss, kuna wengine mchanga wanaupata bure kabisa kwenye viwanja vyao.
Ila hizo hesabu hazihusishi finishing ( so huo mchanga ni kwa ujenzi wa structure tu)
 
Bado unajiuliza unaanzaje ujenzi?
Unaweza kuanza na ramani kama hii ya vyumba vitatu (master, self, na plain bedroom) kujenga.

KUJENGA BOMA
tofali (jumla) ...... Tsh. 3,100,000
mchanga ......... Tsh. 300,000
saruji ................ Tsh. 1,500,000
kokoto ..................Tsh. 400,000
Nondo ........................... 1,178,000
ringi (stirrups) ............ 150,000
binding .......................... 30,000
misumari ..................... 35,000
mbao (kukodi) .............. 150,000
mbao (kununua) ........... 52,000
maji ........................... 500,000
Ufundi ...............................________
JUMLA ....................... = Tsh. 7,395,000

Note: Gharama ya maji inaweza kubadilika kulingana upatikanaji wake sehemu unayojenga. Na gharama ya nondo inaweza kupungua kulingana na stability ya eneo unalojenga.

KUPAUA
bati ................ Tsh. 2,300,000
kofia ............. 600,000
valley .............. 320,000
misumari ............... 136,000
misumari ya bati ...... 140,000
mbao 2X2 ...........720,000
mbao 2X4.............1,368,000
kench waya .......... 14,000
Ufundi .... _______
JUMLA = Tsh. 5,598,000

Gharama za ufundi zitategemea sehemu unayojenga na fundi uliemtumia.

Note: Ujenzi huu ni wa Viwango vinavyokubalika sio low standards, mfano (mortar) kwa kawaida mfuko mmoja wa saruji unajenga tofali 45 za msingi, lakini unakuta baadhi ya mafundi (wahusika) wanajenga mpaka tofali 60 kwa mfuko n.k

KAMA UTAHITAJI KUJUA GHARAMA ZA UFUNDI Au KUPATA RAMANI KAMILI KULINGANA NA KIWANJA CHAKO NICHEKI WHATSAPP 0717682856

View attachment 1844392

View attachment 1844393

View attachment 1844394
Mchanganuo huu ni nyumba kubwa kiasi gani/vyumba vingapi?
 
Bado unajiuliza unaanzaje ujenzi?
Unaweza kuanza na ramani kama hii ya vyumba vitatu (master, self, na plain bedroom) kujenga.

KUJENGA BOMA
tofali (jumla) ...... Tsh. 3,100,000
mchanga ......... Tsh. 300,000
saruji ................ Tsh. 1,500,000
kokoto ..................Tsh. 400,000
Nondo ........................... 1,178,000
ringi (stirrups) ............ 150,000
binding .......................... 30,000
misumari ..................... 35,000
mbao (kukodi) .............. 150,000
mbao (kununua) ........... 52,000
maji ........................... 500,000
Ufundi ...............................________
JUMLA ....................... = Tsh. 7,395,000

Note: Gharama ya maji inaweza kubadilika kulingana upatikanaji wake sehemu unayojenga. Na gharama ya nondo inaweza kupungua kulingana na stability ya eneo unalojenga.

KUPAUA
bati ................ Tsh. 2,300,000
kofia ............. 600,000
valley .............. 320,000
misumari ............... 136,000
misumari ya bati ...... 140,000
mbao 2X2 ...........720,000
mbao 2X4.............1,368,000
kench waya .......... 14,000
Ufundi .... _______
JUMLA = Tsh. 5,598,000

Gharama za ufundi zitategemea sehemu unayojenga na fundi uliemtumia.

Note: Ujenzi huu ni wa Viwango vinavyokubalika sio low standards, mfano (mortar) kwa kawaida mfuko mmoja wa saruji unajenga tofali 45 za msingi, lakini unakuta baadhi ya mafundi (wahusika) wanajenga mpaka tofali 60 kwa mfuko n.k

KAMA UTAHITAJI KUJUA GHARAMA ZA UFUNDI Au KUPATA RAMANI KAMILI KULINGANA NA KIWANJA CHAKO NICHEKI WHATSAPP 0717682856

View attachment 1844392

View attachment 1844393

View attachment 1844394
Umetisha mzee so hapo m15 nilismaliza boma ni kuweka grils nahamia
 
Bado unajiuliza unaanzaje ujenzi?
Unaweza kuanza na ramani kama hii ya vyumba vitatu (master, self, na plain bedroom) kujenga.

KUJENGA BOMA
tofali (jumla) ...... Tsh. 3,100,000
mchanga ......... Tsh. 300,000
saruji ................ Tsh. 1,500,000
kokoto ..................Tsh. 400,000
Nondo ........................... 1,178,000
ringi (stirrups) ............ 150,000
binding .......................... 30,000
misumari ..................... 35,000
mbao (kukodi) .............. 150,000
mbao (kununua) ........... 52,000
maji ........................... 500,000
Ufundi ...............................________
JUMLA ....................... = Tsh. 7,395,000

Note: Gharama ya maji inaweza kubadilika kulingana upatikanaji wake sehemu unayojenga. Na gharama ya nondo inaweza kupungua kulingana na stability ya eneo unalojenga.

KUPAUA
bati ................ Tsh. 2,300,000
kofia ............. 600,000
valley .............. 320,000
misumari ............... 136,000
misumari ya bati ...... 140,000
mbao 2X2 ...........720,000
mbao 2X4.............1,368,000
kench waya .......... 14,000
Ufundi .... _______
JUMLA = Tsh. 5,598,000

Gharama za ufundi zitategemea sehemu unayojenga na fundi uliemtumia.

Note: Ujenzi huu ni wa Viwango vinavyokubalika sio low standards, mfano (mortar) kwa kawaida mfuko mmoja wa saruji unajenga tofali 45 za msingi, lakini unakuta baadhi ya mafundi (wahusika) wanajenga mpaka tofali 60 kwa mfuko n.k

KAMA UTAHITAJI KUJUA GHARAMA ZA UFUNDI Au KUPATA RAMANI KAMILI KULINGANA NA KIWANJA CHAKO NICHEKI WHATSAPP 0717682856

View attachment 1844392

View attachment 1844393

View attachment 1844394
Shukran mkuu kwa huu mchanganuo mzuri
 
Hapo bati ni migongo mipana gauge 28 (reference price ni ya sunshare)
Mchanganuo wa material upo, nimeweka hivo ili raia wapate picha tu ndio maana nikaweka na layout ya floor plan.
Labour charge boss haitegemei sana idadi ya vyumba bali ukubwa wa jumla wa nyumba. Nyumba mbili tofauti za vyumba vitatu zinaweza kukupa gharama za ufundi zenye tofauti kubwa
je kwa sunshre gej 30 migongo midogo bei gan
 
46 Reactions
Reply
Back
Top Bottom