MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Hiki kitendo cha kumkamata mtu kwa kesi ya Uchiche halafu unampekeka kupimwa mkojo na kwenda kumpekua nyumbani kwake? Ni kutakaka kumbadilishia mtu tuhuma sio?
Ukusikia mtu yuko mahabusu kwa kesi ya kusingiziwa na polisi usitafute jibu,kupitia kwa tuhuma za lisu tunajionea wenyewe, haya malalamiko yapo sana. Mtu amekuomba rushwa kwa tuhuma ya kesi ndogo ukamkatalia kama hauko macho unabadilishiwa tuhuma na kitakachofuata ni kukalia debe buree.
Ukusikia mtu yuko mahabusu kwa kesi ya kusingiziwa na polisi usitafute jibu,kupitia kwa tuhuma za lisu tunajionea wenyewe, haya malalamiko yapo sana. Mtu amekuomba rushwa kwa tuhuma ya kesi ndogo ukamkatalia kama hauko macho unabadilishiwa tuhuma na kitakachofuata ni kukalia debe buree.