MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Naendelea kujiuliza maswali ambayo sajapata majibu, labda nyie wenzangu mnayo na mnisaidie kujibu....
Hivi waziri wa sasa ambaye ni waziri asiye na wizara maalum naye anaongea bungeni? (kujibu maswali), Je, ana ofisi ambazo zinashughulika na masuala mbalimbali ya utawala katika nchi hii?? Je huwa anafanya ziara ndani na nje ya nchi kama mawaziri wengine? Hivi naye huwa anatoa amri kwa watendaji wengine wa serikali kuu ama za mitaa kuhusu utekelezaji wamasuala mbalimbali?
Kama hafanyi mambo hayo na yupo kwa ajili ya kuendelea kuifaidi neema ya wananchi masikini je kuna haja ya cheo hicho kuendelea kuwepo?
Hivi waziri wa sasa ambaye ni waziri asiye na wizara maalum naye anaongea bungeni? (kujibu maswali), Je, ana ofisi ambazo zinashughulika na masuala mbalimbali ya utawala katika nchi hii?? Je huwa anafanya ziara ndani na nje ya nchi kama mawaziri wengine? Hivi naye huwa anatoa amri kwa watendaji wengine wa serikali kuu ama za mitaa kuhusu utekelezaji wamasuala mbalimbali?
Kama hafanyi mambo hayo na yupo kwa ajili ya kuendelea kuifaidi neema ya wananchi masikini je kuna haja ya cheo hicho kuendelea kuwepo?