TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,872
- 11,248
Wakuu, naomba kuwasialisha hii mada;
Pamoja na jitihada kubwa zinazoendelezwa na wadau mbalimbalia kwa mfano mashirika ya maendeleo ya kijamii, serikali, sisi wenyewe kama wananchi na kampeni nyingi tu za upimaji, ARVs nk.; Takwimu ambazo si rasmi (but reliable, confidentiality is observed here) zinaonnyesha kwamba hali ni tete zaidi kwenye makundi yafuatayo
Je tuwe wakatili kwa wanaofahamika kuwa na ugonjwa na kuusambaza makusudi? tuwafanyeje waume au wake za watu wanaoongoza kwa kwenda nje
Tuwasaidiaje wasanii na wanamichezo?
Tusaidiaje kubadili tabia?
Pamoja na jitihada kubwa zinazoendelezwa na wadau mbalimbalia kwa mfano mashirika ya maendeleo ya kijamii, serikali, sisi wenyewe kama wananchi na kampeni nyingi tu za upimaji, ARVs nk.; Takwimu ambazo si rasmi (but reliable, confidentiality is observed here) zinaonnyesha kwamba hali ni tete zaidi kwenye makundi yafuatayo
- Wanandoa - extra marital affairs zinaongezeka hasa kwenye miji mikubwa ambayo elimu ya ukimwi hutolewa zaidi
- Wasanii - hasa wa bendi zetu
- wanavyuo - ingawa hii haina data kubwa hasa kutokana na wengi wao kutokupima (bado wana afya nzuri
Je tuwe wakatili kwa wanaofahamika kuwa na ugonjwa na kuusambaza makusudi? tuwafanyeje waume au wake za watu wanaoongoza kwa kwenda nje
Tuwasaidiaje wasanii na wanamichezo?
Tusaidiaje kubadili tabia?