ijoz
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 731
- 709
Habari zilizotangazwa na BBC SWAHILI zimesema kuwa katika jitihada za kujikwamua na mdororo wa uchumi,Serikali ya Ugiriki imefunga shirika la Habari la Ugiriki 'TBC ya Ugiriki' (inaitwa ERT) baada ya kuona kuwa linajiendesha kwa hasara.
Kwamba,imebainika kuwa ni watu wachache wanafuatilia habari zake,na kwamba wengi wameamua kufuatilia habari kutoka vituo binafsi,na kwamba shirika linaitia hasara Serikali ya Ugiriki.
Nami ningetamani hali hii ya kufungia kituo cha habari ifanyike kwa TBC,kwani vipindi vyake havina mvuto,na kwa kweli wamekosa ubunifu,na linatia hasara serikali yetu.
Kwamba,imebainika kuwa ni watu wachache wanafuatilia habari zake,na kwamba wengi wameamua kufuatilia habari kutoka vituo binafsi,na kwamba shirika linaitia hasara Serikali ya Ugiriki.
Nami ningetamani hali hii ya kufungia kituo cha habari ifanyike kwa TBC,kwani vipindi vyake havina mvuto,na kwa kweli wamekosa ubunifu,na linatia hasara serikali yetu.