Kilele9
JF-Expert Member
- Jun 1, 2017
- 1,452
- 1,091
Bei zenu zipoje?Naitwa Wilson Mwamakalapya nipo NJOMBE mjini. Ni mwenyekiti Wa kikundi cha vibarua mashambani. Tunafanya Kazi zote za Shamba tupo Mbeya, NJOMBE, Iringa, Songwe lakini pia tunasafiri mikoa mingine.
Simu 0767361063 /0624227376
Email; wilsonmwamakalapya@gmail.com
What's up: 0767 361 063