sam leon
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 890
- 1,188
Mtoto unazingua weweHata mimi namkumbuka rose wangu, sema wangu hajafa...bado anadunda kitaa ila ninayeteseka ni mimi
Mtoto unazingua weweHata mimi namkumbuka rose wangu, sema wangu hajafa...bado anadunda kitaa ila ninayeteseka ni mimi
Hizi akili za kuaminishwa zinatuchelewesha kujielewa kwakweli, yani Jitu lifanye madhambi kedekede lingali hai, lisitubu hata kujutia maovu yake likitegemea kuombewa baada ya kufa?Hakuna kitu kama hicho..km alishindwa kujiombea mwenyew its done!
Hahahaha...Mkuu tuache tumfariji mgane. japo hatujaona kama kuna sehemu aliburuza.Mtoto unazingua wewe
Mwenyezi mungu anasema.
WAOMBEENI MEMA MAREHEMU WENU.
ukiwatolea sadaka zinawafikia.
Ukiwaombea dua pia zinawafikia.
We ni Genius sana KakaMara tiii taarifa ni ya uongo uliyopewa hilo sekeseke na sokomoko litakalo ukumba huo moyo wako
Mkuu pole sana maisha ndo haya haya na safar ni moja yatupasa tukubal hata kama hatutak
Huzuni nyngne ipi bosi?Duh leo ni siku za huzuni tu...pole sn mkuu..dah!
Alisikika mlevi mmojaNipe namba yake huyo Rose kweny picha yake kumbe mkali hvyoo lazima nimnase
Sasa unadhani itakuwa picha ya nan? Dada yake?
Pole mkuu, hiyo picha ndo ya Rose?
Ni takribani miaka tisa (9) tangu nilipokutana na huyu binti ambaye mwanzoni sikujua kama nitakuja kuwa nae na ukaribu uliopelekea kuingia kwenye mahusiano.
Nakumbuka nilikutana na Rose nikiwa katika safari yangu ya kuelekea moja kati ya mikoa ya kanda ya ziwa ndipo kwa bahati nikatokea kukaa siti moja na huyu mrembo, kweli niliona ni kama bahati hasa kukaa siti moja na yule mrembo, baada ya salamu haikuchukua muda kuzoeana na story za hapa na pale ili kunogesha safari yetu ambayo tulitegemea ingetuchukua siku nzima kufika.
MAISHA YA MAHUSIANO
Baada ya mazoea ya muda mrefu tulijikuta tukiwa katika mahusiano ambayo kwa kweli yalikuwa yamejaa malengo kedekede huku kila mmoja akiwa na hamu ya kumjua mwenzie kiundani ata hivyo haikupita muda mrefu nadhani ni zaidi ya kama ya mwaka mmoja na nusu hivi ndipo penzi letu lilipoanza kuingiwa na mdudu mbaya.
Mwenzangu akawa ni mgumu katika kuwasiliana kejeli nyingi sana pamoja na hayo mtoto wa kiume nikapiga moyo konde huwenda akabadilika hivyo niliamua kuwa mvumilivu kidogo.
Lakini baada ya kutoona mabadiliko niliamua kukubali yaishe kwa kweli niliumia japo nilifanikiwa kuzoea na kuendelea na maisha mengine
KIFO SIKU YA KUMBUKUMBU YAKE YA KUZALIWA
Nakumbuka usiku wa kuamkia siku yake ya kuzaliwa miale kama ya sita na nusu usiku nilipokea ujumbe (sms) kutoka kwa Rose kuwa “ hata kama tumetengana bby huwezi ata kuni wish happy birthday” maneno haya yalinifanya niingiwe na utu nikamuomba radhi na nikamwambia sorry nilikuwa nangoja ifike kesho...ila alijibu jibu ambalo still mpaka leo linaniumiza sana “ vipo kama kesho nikifa mpenzi” nilicheka nikajua basi ni maneno tu
Nakumbuka siku hiyo ndipo penzi letu lilipochipua kwa mara nyingine kwani baada ya hapo kesho yake ikiwa ndio siku ya birthday yake kutokana na kuwa na shughuli nyingi na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti nikaone ni vyema nisibiri jioni nimtafute tena
USIKU WA AJALI MBAYA ILIYOMPOTEZA KIPENZI CHANGU
Kwenye muda wa saa moja usiku niliona text ya Rose kuwa katika kusherekea birthady yangu ninakwenda kula nyama na baadhi ya marafiki zangu na moja kati ya marafiki zake niliwajua na ndiye aliyenipa taarifa hii mbaya ambayo ni ngumu kuisahau kwani wakiwa katika usafiri wa boda boda waligongana na roli na yeye pamoja na dereva wa bodaboda walifariki pale pale
Kwangu ilikuwa ngumu kuamini ili baada ya kupewa uhakika kweli iliniuma sana...!!! Usiombe kumpoteza mtu wa karibu
Basi zawadi pekee ambayo niliona kwako itakufaa ni kukuombea tu naamini Mungu alishakupokea kwani nina utaratibu wa kila jumapili ya mwanzo wa mwezi kukuombea kipenzi changu najua upo katika mikono salama ya Baba yako wa milele na utafurahi siku tukikutana tena
R.I. P Rose
View attachment 1184811
Ushauri wa kweli huuMaombi hayawezi kubadili chochote ni vizuri ukajiombea mwenyewe kuandaa maisha yako.
Kwenye ingredients za definition yako ya kupenda na mahusiano ku do do do imo ndio maana umeona hivyo.Halafu mkuu, embu fafanua vizuri.
Huyo unayemsalia, alikuwa ni X wako ama ni mpenzi wako?
Maana katika maelezo yako umetuthibitishia kuwa mlikuwa mmeshamwagana.
Ila siku ya birth day pakawa na kauchokonozi!
Sasa hapo utasemaje ni mpenzi wakati ulikuwa haujamrejesha kwenye himaya yako kwa njia yoyote, 'alivuta' hata kabla ya ku Du do do do?
Imani yako?Mkuu imani yangu inaniruhusu kufanya hivi kwani kosa
.kuna nyingine ya Heaven on Earth anamkumbuka rafik yakeHuzuni nyngne ipi bosi?
Hizi akili za kuaminishwa zinatuchelewesha kujielewa kwakweli, yani Jitu lifanye madhambi kedekede lingali hai, lisitubu hata kujutia maovu yake likitegemea kuombewa baada ya kufa?