The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 4,993
- 8,077
Uhakika.Dah nmecheka kwaiyo mwanangu ungejipiga carolite
Uhakika.Dah nmecheka kwaiyo mwanangu ungejipiga carolite
Buyobe lazima apite nayo hii
Kasusura alikamatwa na mzigo wa kutosha, akapelekwa kote alikokuwa kahifadhi mzigo, washkaji wakatembea nao kwa maelekezo maalum
Wale wote waliofykuzwa kazi bila kushtakiwa inasemekana walipata mgao wa kutosha sana
Kuna mmoja mtani wangu.. Au basimdomo koma!
Kumbuka noti za dollar zinabadilishwaga kila baada ya muda flani.Ningeandika njia kuu 6 za kutoroka nje ya nchi bila kujulikana kamwe ila sitaki kuzifichua hizo chimbo. hata wale watu wa kubwia huwa wanapitisha huko
Alipaswa kwanza atulie mpka Heat ipungue then, Angeondoka nchini kirahisi kabisa, sema kwasababu alikuwa mjinga sana kiasi cha kununua malaya na kunywa pombe hovyohovyo mpka akajulikana.
Yani hata angenunua nyumba kupitia mtu mwingine akafukua karo la choo kwa pembeni, halafu akazizika kwenye boksi la mbao. na nyumba akapangisha watu wasiojua chchte akasepa nje ya nchi.
Angerudi aka fanya plea bargain, akalipa million 800 hiyo 1B akaendelea nayo
Pole sanaKasusura ni mjomba wangu,nahisi walimsingizia tu kwani kama angeiba hizo fedha asingeishi maisha ya dhiki huko kijijini biharamulo.
Nipo hapa mama..leta diliNapenda mwanaume anayejiamini kama hivi....!
Mi ningejipeleka polisi na mawakili watatu matata sana was kipindi kile.. Mabere marando, Magafu majura na Masumbuko Lamwai.. mbona ingeisha tu bila hata kupigwaMimi ningezificha, then ningewaacha cops wanikamate,nipambane mahakamani.
Ange change hata dola 100,000/ tu za kupambana mahakamani na kuwanunua askari magereza niishi kifalme.
Nawafahamu watu kadhaa wapo ndani ila hats msosi wa jela hawaujui.
Buyobe lazima apite nayo hii
Mara nyingi hutokea mtu kwenye chain yako ambaye hufanya ujinga kwa kujua au kutokujua na ndio hugharimu.Aligundulika Police station baada ya wanawake wawili kumgombea na kupelekana polisi, ndipo police mmoja akamwangalia na kuhisi ni Kasusura.