Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,711
- 4,642
Nawasalimu.
Ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya utawala (B.A Public Administration) sina uzoefu wowote,lakini ninajituma,nina weza kufanya kazi magumu,nina utayari na haraka wa kujifunza mambo mapya,pia ni msikivu ,kwa andiko hilo natafuta fursa ya kazi,kujitolea(volunteer),ku-intern katika nafasi inayohusiana na taaluma yangu,lengo kubwa ni kupata uzoefu au pengine hata ajira.
Kwenye mwenye fursa hiyo nitaomba niwasiliane naye kupitia PM( Private message), ninaishi Dar es salaam.
Ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya utawala (B.A Public Administration) sina uzoefu wowote,lakini ninajituma,nina weza kufanya kazi magumu,nina utayari na haraka wa kujifunza mambo mapya,pia ni msikivu ,kwa andiko hilo natafuta fursa ya kazi,kujitolea(volunteer),ku-intern katika nafasi inayohusiana na taaluma yangu,lengo kubwa ni kupata uzoefu au pengine hata ajira.
Kwenye mwenye fursa hiyo nitaomba niwasiliane naye kupitia PM( Private message), ninaishi Dar es salaam.