Wadau hebu nisaidieni nampenda sna mume wangu na tangu tumetengana kwa muda wa mwaka na nusu sasa sijathubutu kuwa na uhusiano wowote na mwanaume mwingine tatizo mume wangu ni bondia namaanisha amekuwa akinipiga sna tangu tulipokuwa boy friend na gal friend zen anaomba msamaha kwamba ni hasira tu namsamehe hd tulipofunga ndoa kanisani nikiamini atabadilika lakini haikuwa hivyo kwani hadi tumepata mtoto 1 still ikitokea tatizo llote la kutofautiana kauli napata kipigo tena sio cha kitoto niko njia panda sijui cha kufanya kwani kwa malezi niliyolelewa ilikuwa kifo ndo kinitenganishe na mume wangu lakini imekuwa vingine kwani nimeshindwa kuendelea kuvumilia kipigo nimeludi kwetu naamini awezi kubadilika wa kuacha kunipiga kwani nimegundua hasira ni tatizo kubwa alilonalo na hadi nahisi anapokuwa na hasira awezi kujicontrol ila akishatenda kosa badae anajutia inaniuma sna ila sina jinsi coz mume wangu ndiye first boyfriend wangu na nampenda kwa dhati ila pia siko tayari kuendelea kupigwa nifanyeje??