the great wizard
JF-Expert Member
- Dec 21, 2015
- 1,482
- 882
Pc za kizamani hizo achana nazo
Pc za kizamani hizo achana nazo
Hivi hawa microsoft wanapataje hela?mbona hz windows zinapatikana bure tu na bado kuna os za freeNdio ugali wao huo, lakini na ukuwaji wateknolojia unawalazimu kwenda mbele zaidi.
Jaribu Window 10....Utanishukuru baadenatumia windows 7 ( Ultimate Edition x64 ) kwa miaka sasa, nili disable updates/security features na takataka zote kitambo sana,
iyo ndio windows bora kuliko windows yoyote ile, kwa upande wangu
ili nigundue nini? windows 10 ina bloatwares kibao ambazo mimi mtumiaji wa kawaida sizitumii
natumia windows 7 ( Ultimate Edition x64 ) kwa miaka sasa, nili disable updates/security features na takataka zote kitambo sana,
iyo ndio windows bora kuliko windows yoyote ile, kwa upande wangu
kila computer ya window inayotengenezwa inawekwa windows original na kuna percent yao.Hivi hawa microsoft wanapataje hela?mbona hz windows zinapatikana bure tu na bado kuna os za free
Hayo maswala ya windows inategemeana na matumizi ya mtu. Mwingine wala haitaji hayo masoftware latest yeye windows 10 ya nini?
Kuna watu mpaka leo wanatumia xp na fresh tu.