Kama hamtaanza sasa hadi mnahakikisha Tume Huru Ya Uchaguzi imepatikana, msije mkahamasisha watu kuingi kwenye uchaguzi, fanyeni juhudi za wazi zionekane ziwaridhishe wapiga kura, sasa hata kama imebadilishwa au haikubadilishwa wananchi watawaelewa kuwa mlipigania kiume kudai Tume hio.
Haya mambo yao kwa sasa msiyape kipau mbele, hizi ni silaha za kampeni, yaani hayo mambo ya Mkaguzi na madudu anayoyaonyesha, msiyape kiki kabisa, kila yakiwa hivyo ndio kheri kwa upinzani kupata gudi target, wanarahisisha kazi na kila CCM wakiiba sana ndipo Serikali inapokosa hela ya kujiendesha, nasema hayo ni yao.
Huku tunahitaji mbinde za kudai Tume Huru Ya Uchaguzi mpaka Rais aliepo madarakani imfikie yakini ,kuwa ni kweli hili ni dai lisilo na shaka ndani yake.
Sio mnasubiri kesho uchaguzi ndio mnaaza lakini Tume sio huru voo, kazi ya kuhamamsisha Tume huru ni sasa ,msitoe nafasi kwa CCM kujikusanya mnawavuruga na wasielewane kabisa.
mambo ya Ndege meli hayo ni yao na weshavuruga sasa mkiwazindua watatafuta pakutokea. CCM ni wakukurupushwa mpaka wajutie kuwa viongozi, halfu wote inasemekana wana vimelea vya korona japo vipo dhaifu kwa sababu ya nyungu lakini nyungu weshaanza kuzitupa hawana muda.
Haya mambo yao kwa sasa msiyape kipau mbele, hizi ni silaha za kampeni, yaani hayo mambo ya Mkaguzi na madudu anayoyaonyesha, msiyape kiki kabisa, kila yakiwa hivyo ndio kheri kwa upinzani kupata gudi target, wanarahisisha kazi na kila CCM wakiiba sana ndipo Serikali inapokosa hela ya kujiendesha, nasema hayo ni yao.
Huku tunahitaji mbinde za kudai Tume Huru Ya Uchaguzi mpaka Rais aliepo madarakani imfikie yakini ,kuwa ni kweli hili ni dai lisilo na shaka ndani yake.
Sio mnasubiri kesho uchaguzi ndio mnaaza lakini Tume sio huru voo, kazi ya kuhamamsisha Tume huru ni sasa ,msitoe nafasi kwa CCM kujikusanya mnawavuruga na wasielewane kabisa.
mambo ya Ndege meli hayo ni yao na weshavuruga sasa mkiwazindua watatafuta pakutokea. CCM ni wakukurupushwa mpaka wajutie kuwa viongozi, halfu wote inasemekana wana vimelea vya korona japo vipo dhaifu kwa sababu ya nyungu lakini nyungu weshaanza kuzitupa hawana muda.