ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kwa aliyebahatika kutazama game ya barca na Spurs atakuwa shahidi,
Sijui ni vipi fifa wanapanga vigezo kumpata mchezaji bora
Nimemuangalia Luka Modric Ktk game mbili ambazo zote Real Madrid kupoteza nimeshindwa kabisa pata jawabu. Hivi kweli mchezaji bora hata. Mwezi haujatimia tangu atangazwe kuwa ni bora eti anatolewa dakika ya 70 na Timu ipo nyuma kwa magoli?
Juzi kwenye Uefa Modric anaanzia sub?
Kweli huyu Modric alibebwa na Timu lakini yeye kama yeye.. Mh hapana
Bado La Pulga atawaburuza saana View attachment 886023View attachment 886024
Sijui ni vipi fifa wanapanga vigezo kumpata mchezaji bora
Nimemuangalia Luka Modric Ktk game mbili ambazo zote Real Madrid kupoteza nimeshindwa kabisa pata jawabu. Hivi kweli mchezaji bora hata. Mwezi haujatimia tangu atangazwe kuwa ni bora eti anatolewa dakika ya 70 na Timu ipo nyuma kwa magoli?
Juzi kwenye Uefa Modric anaanzia sub?
Kweli huyu Modric alibebwa na Timu lakini yeye kama yeye.. Mh hapana
Bado La Pulga atawaburuza saana View attachment 886023View attachment 886024