Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,196
- 1,292
🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo iko sana Dodoma vijijini, utakuta Mtu ana miaka zaidi ya 20 anakutambulisha kwa Baba yake mdogo au mjomba/ shangazi yake mwenye miaka 5.
🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo iko sana Dodoma vijijini, utakuta Mtu ana miaka zaidi ya 20 anakutambulisha kwa Baba yake mdogo au mjomba/ shangazi yake mwenye miaka 5.
Kwa hiyo kupata mtoto kunavunja sheria za nchi? Na hayo maadili ya jamii ni yapi?Sawa mkuu. Wee ishi utakavyo lakini usivunje sheria za nchi wala maadili ya jamii uliomo
Sifahamu mkuuKwa hiyo kupata mtoto kunavunja sheria za nchi? Na hayo maadili ya jamii ni yapi?