Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,462
- 34,706
Poleni na msiba wakuu, na poleni Kwa vifurushi pendwa
Mambo ni mengi mda hautoshi, Paula Kajala amezidi kuuthibitishia Umma kuwa yeye ni mtu mzima na anafaa Kwa matumizi yoyote Yale .... Baada ya CEO wa Next Level Music anayetamba na albam yake ya sound of Africa ,Vanny boy mtu mbaya kumtafuna ipasavyo mtoto Paula , maneno yalikuwa mengi kwa watanzania wapenda maadili huku wengi wakimtuhumu kwa kumtafuna mwanafunzi ....
Hata hvyo kupitia accnt yake ya Instagram mtoto Paula amekanusha vikali kwa kutumia lugha ya picha , baada ya kupost picha akiwa nusu uchi kuudhihirishia umma kuwa yeye sasa anafaa kwa matumizi.
Katika hatua nyingine penzi la Kajala na Harmonize limeonekana kuweweseka baada ya Kajala kufuta picha zote za harmonize kwenye accnt yake ya Instagram huku pia akimu-unfollow nyota huyo wa bongo fleva Hali inayoleta sintofahamu Kwa wanazengo , huku wengi wakitabiri hatua hyo ya Kajala kama ishara ya kuvunjika Kwa penzi Lao....
Pengine ni Kiki , wacha tuone
Mambo ni mengi mda hautoshi, Paula Kajala amezidi kuuthibitishia Umma kuwa yeye ni mtu mzima na anafaa Kwa matumizi yoyote Yale .... Baada ya CEO wa Next Level Music anayetamba na albam yake ya sound of Africa ,Vanny boy mtu mbaya kumtafuna ipasavyo mtoto Paula , maneno yalikuwa mengi kwa watanzania wapenda maadili huku wengi wakimtuhumu kwa kumtafuna mwanafunzi ....
Hata hvyo kupitia accnt yake ya Instagram mtoto Paula amekanusha vikali kwa kutumia lugha ya picha , baada ya kupost picha akiwa nusu uchi kuudhihirishia umma kuwa yeye sasa anafaa kwa matumizi.
Katika hatua nyingine penzi la Kajala na Harmonize limeonekana kuweweseka baada ya Kajala kufuta picha zote za harmonize kwenye accnt yake ya Instagram huku pia akimu-unfollow nyota huyo wa bongo fleva Hali inayoleta sintofahamu Kwa wanazengo , huku wengi wakitabiri hatua hyo ya Kajala kama ishara ya kuvunjika Kwa penzi Lao....
Pengine ni Kiki , wacha tuone