Bado kuna watu wanamlaumu Vanny boy Kwa Paula? Penzi la Kajala na Konde boy lipo Hoi

Poleni na msiba wakuu, na poleni Kwa vifurushi pendwa

Mambo ni mengi mda hautoshi, Paula Kajala amezidi kuuthibitishia Umma kuwa yeye ni mtu mzima na anafaa Kwa matumizi yoyote Yale .... Baada ya CEO wa Next Level Music anayetamba na albam yake ya sound of Africa ,Vanny boy mtu mbaya kumtafuna ipasavyo mtoto Paula , maneno yalikuwa mengi kwa watanzania wapenda maadili huku wengi wakimtuhumu kwa kumtafuna mwanafunzi ....

Hata hvyo kupitia accnt yake ya Instagram mtoto Paula amekanusha vikali kwa kutumia lugha ya picha , baada ya kupost picha akiwa nusu uchi kuudhihirishia umma kuwa yeye sasa anafaa kwa matumizi.

View attachment 1742058

Katika hatua nyingine penzi la Kajala na Harmonize limeonekana kuweweseka baada ya Kajala kufuta picha zote za harmonize kwenye accnt yake ya Instagram huku pia akimu-unfollow nyota huyo wa bongo fleva Hali inayoleta sintofahamu Kwa wanazengo , huku wengi wakitabiri hatua hyo ya Kajala kama ishara ya kuvunjika Kwa penzi Lao....

Pengine ni Kiki , wacha tuone
Ishu ya Kajala na mwanae ni funzo sisi kwetu wanaume. Tupotaka kuzaa na wanawake tuwe makini na maadili ya huyo mwanamke, maana ndy kama hivyo unazaa na mtu mdangaji mwisho wa siku na watoto na wanakua wadangaji utabaki na aibu.

Kajala hayuko makini kabisa na maadili ya mtoto wake, na kuna siku huyo mtoto atakuja kumlaumu huyo mama kuwa kwa nini alimuacha akaingia kwenye tabia zisizofaa.

NB; Hata kama mimi ni mwizi siwezi nikaruhusu mtoto wangu nae awe mwizi. "Kwetu wanaume tujitahidi kuzaa na watu wenye maadili".
 
Kweli mwamba kala?
Sjui Kala au hajala 🤣🤣 issue iliyopo Paula kavujisha mistari ya mwamba Kwa mama ake , sasa haijulikani kama kavujisha tayar akiwa ameinamishwa au kavujisha akiwa amemmkazia mwamba ili kusitiri heshima ya mama 😀😀😀
 
Sjui Kala au hajala 🤣🤣 issue iliyopo Paula kavujisha mistari ya mwamba Kwa mama ake , sasa haijulikani kama kavujisha tayar akiwa ameinamishwa au kavujisha akiwa amemmkazia mwamba ili kusitiri heshima ya mama 😀😀😀
Yaani raia hamna screenshots ya kitu muhimu kama hiki?
 
Ishu ya Kajala na mwanae ni funzo sisi kwetu wanaume. Tupotaka kuzaa na wanawake tuwe makini na maadili ya huyo mwanamke, maana ndy kama hivyo unazaa na mtu mdangaji mwisho wa siku na watoto na wanakua wadangaji utabaki na aibu.

Kajala hayuko makini kabisa na maadili ya mtoto wake, na kuna siku huyo mtoto atakuja kumlaumu huyo mama kuwa kwa nini alimuacha akaingia kwenye tabia zisizofaa.

NB; Hata kama mimi ni mwizi siwezi nikaruhusu mtoto wangu nae awe mwizi. "Kwetu wanaume tujitahidi kuzaa na watu wenye maadili".
Mkuu hivi ndo huyu PAULA Wa jf au kuna mwingine?
 
Poleni na msiba wakuu, na poleni Kwa vifurushi pendwa

Mambo ni mengi mda hautoshi, Paula Kajala amezidi kuuthibitishia Umma kuwa yeye ni mtu mzima na anafaa Kwa matumizi yoyote Yale .... Baada ya CEO wa Next Level Music anayetamba na albam yake ya sound of Africa ,Vanny boy mtu mbaya kumtafuna ipasavyo mtoto Paula , maneno yalikuwa mengi kwa watanzania wapenda maadili huku wengi wakimtuhumu kwa kumtafuna mwanafunzi ....

Hata hvyo kupitia accnt yake ya Instagram mtoto Paula amekanusha vikali kwa kutumia lugha ya picha , baada ya kupost picha akiwa nusu uchi kuudhihirishia umma kuwa yeye sasa anafaa kwa matumizi.

View attachment 1742058

Katika hatua nyingine penzi la Kajala na Harmonize limeonekana kuweweseka baada ya Kajala kufuta picha zote za harmonize kwenye accnt yake ya Instagram huku pia akimu-unfollow nyota huyo wa bongo fleva Hali inayoleta sintofahamu Kwa wanazengo , huku wengi wakitabiri hatua hyo ya Kajala kama ishara ya kuvunjika Kwa penzi Lao....

Pengine ni Kiki , wacha tuone


Ila account yake ya insta ni therealpaulahkajala

Sio hiyo
 
Poleni na msiba wakuu, na poleni Kwa vifurushi pendwa

Mambo ni mengi mda hautoshi, Paula Kajala amezidi kuuthibitishia Umma kuwa yeye ni mtu mzima na anafaa Kwa matumizi yoyote Yale .... Baada ya CEO wa Next Level Music anayetamba na albam yake ya sound of Africa ,Vanny boy mtu mbaya kumtafuna ipasavyo mtoto Paula , maneno yalikuwa mengi kwa watanzania wapenda maadili huku wengi wakimtuhumu kwa kumtafuna mwanafunzi ....

Hata hvyo kupitia accnt yake ya Instagram mtoto Paula amekanusha vikali kwa kutumia lugha ya picha , baada ya kupost picha akiwa nusu uchi kuudhihirishia umma kuwa yeye sasa anafaa kwa matumizi.

View attachment 1742058

Katika hatua nyingine penzi la Kajala na Harmonize limeonekana kuweweseka baada ya Kajala kufuta picha zote za harmonize kwenye accnt yake ya Instagram huku pia akimu-unfollow nyota huyo wa bongo fleva Hali inayoleta sintofahamu Kwa wanazengo , huku wengi wakitabiri hatua hyo ya Kajala kama ishara ya kuvunjika Kwa penzi Lao....

Pengine ni Kiki , wacha tuone
Ishu ya Kajala na mwanae ni funzo sisi kwetu wanaume. Tupotaka kuzaa na wanawake tuwe makini na maadili ya huyo mwanamke, maana ndy kama hivyo unazaa na mtu mdangaji mwisho wa siku na watoto na wanakua wadangaji utabaki na aibu.

Kajala hayuko makini kabisa na maadili ya mtoto wake, na kuna siku huyo mtoto atakuja kumlaumu huyo mama kuwa kwa nini alimuacha akaingia kwenye tabia zisizofaa.

NB; Hata kama mimi ni mwizi siwezi nikaruhusu mtoto wangu nae awe mwizi. "Kwetu wanaume tujitahidi kuzaa na watu wenye maadili".
Mkuu hivi ndo huyu PAULA Wa jf au kuna mwingine?
Bado sijafahamu mkuu..
 
Kula mzigo Kwa Kajala hata wewe unapiga Tu pale , alitaka Kula mtoto Paula mambo yakaharibika kwan hatujui , ndo anajitapa kumla Paula kumbe holaa mtoto kavujisha Siri Kwa mama , kalipia mishopping kibao .... Alaf kisa cha kumuonea gere Rayvanny ni nin sasa ? Kama sio umama huo ,Rayvanny kila sku anampiga kata funua Paula .....
yaan khaaaaah
 
Back
Top Bottom