captain 21
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 583
- 1,182
Ishu ya Kajala na mwanae ni funzo sisi kwetu wanaume. Tupotaka kuzaa na wanawake tuwe makini na maadili ya huyo mwanamke, maana ndy kama hivyo unazaa na mtu mdangaji mwisho wa siku na watoto na wanakua wadangaji utabaki na aibu.Poleni na msiba wakuu, na poleni Kwa vifurushi pendwa
Mambo ni mengi mda hautoshi, Paula Kajala amezidi kuuthibitishia Umma kuwa yeye ni mtu mzima na anafaa Kwa matumizi yoyote Yale .... Baada ya CEO wa Next Level Music anayetamba na albam yake ya sound of Africa ,Vanny boy mtu mbaya kumtafuna ipasavyo mtoto Paula , maneno yalikuwa mengi kwa watanzania wapenda maadili huku wengi wakimtuhumu kwa kumtafuna mwanafunzi ....
Hata hvyo kupitia accnt yake ya Instagram mtoto Paula amekanusha vikali kwa kutumia lugha ya picha , baada ya kupost picha akiwa nusu uchi kuudhihirishia umma kuwa yeye sasa anafaa kwa matumizi.
View attachment 1742058
Katika hatua nyingine penzi la Kajala na Harmonize limeonekana kuweweseka baada ya Kajala kufuta picha zote za harmonize kwenye accnt yake ya Instagram huku pia akimu-unfollow nyota huyo wa bongo fleva Hali inayoleta sintofahamu Kwa wanazengo , huku wengi wakitabiri hatua hyo ya Kajala kama ishara ya kuvunjika Kwa penzi Lao....
Pengine ni Kiki , wacha tuone
Kajala hayuko makini kabisa na maadili ya mtoto wake, na kuna siku huyo mtoto atakuja kumlaumu huyo mama kuwa kwa nini alimuacha akaingia kwenye tabia zisizofaa.
NB; Hata kama mimi ni mwizi siwezi nikaruhusu mtoto wangu nae awe mwizi. "Kwetu wanaume tujitahidi kuzaa na watu wenye maadili".