Kuna kila dalili kuna baadhi ya viongozi/watendaji wa Serikali wanalewa madaraka mara baada ya kuteuliwa na wanasahau kabisa kuwa nafasi hiyo kateuliwa tu na wakati wowote anaweza kutenguliwa.
Baadhi yao wamekuwa wakidhani kuwa wao ni bora zaidi kuliko wengine walio achwa na hivyo kuanza kuinua mabega juu, Kumbe ubora wao unatokana na Utendaji wao.
Rais wetu leo kaongea maneno machache lkn yamejaa hekima na Busara ni vyema kwa watendaji wakayasikilizabkwa makini maelekezo aliyo yatoa.
chonde chonde kwa watendaji wote chapeni kazi, kazi yako, bidii na ubunifu wako ndio vitakavyo kutetea mbele ya jamii.
kazi iendelee asiye weza atupishe.
Baadhi yao wamekuwa wakidhani kuwa wao ni bora zaidi kuliko wengine walio achwa na hivyo kuanza kuinua mabega juu, Kumbe ubora wao unatokana na Utendaji wao.
Rais wetu leo kaongea maneno machache lkn yamejaa hekima na Busara ni vyema kwa watendaji wakayasikilizabkwa makini maelekezo aliyo yatoa.
chonde chonde kwa watendaji wote chapeni kazi, kazi yako, bidii na ubunifu wako ndio vitakavyo kutetea mbele ya jamii.
kazi iendelee asiye weza atupishe.