Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,362
- 2,976
Kadri muda unavyokwenda TL anapunguza ukali wa kauli zake juu ya JPM .Kuna uwezekano kuna Mambo anaendelea yaliyokuwa yamejificha .
Kuhusu mikataba mibovu alishakiri kwamba kwenye Mali za Nchi JPM hakupenda zichezewa akimaanisha JPM alikuwa mzalendo.
Baada ya vifo uchaguzi Serikali za mitaa 2024 kakiri Magufuli hakuua mtu 2019
Katika kuazimisha miezi 6 ya Makonda alitwambia JPM he was a good man kuna Tundu lissu atakuliana na Mh Makonda
Tuendelee kusubiri .
Kuhusu mikataba mibovu alishakiri kwamba kwenye Mali za Nchi JPM hakupenda zichezewa akimaanisha JPM alikuwa mzalendo.
Baada ya vifo uchaguzi Serikali za mitaa 2024 kakiri Magufuli hakuua mtu 2019
Katika kuazimisha miezi 6 ya Makonda alitwambia JPM he was a good man kuna Tundu lissu atakuliana na Mh Makonda
Tuendelee kusubiri .