wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Yaani leo nimepanda gari free kabisa baada ya kutoa noti ya 10,000 kulipa nauli konda akanirudishia hela yangu kwa kukosa chenji,yaani kwa sasa ukiwa na noti ya 10,000 kupata chenji ni kimbembe sana mzunguko uliopo ni kuanzia 5000 kushuka chini ,na ukiwa na laki moja kwenda juu my friend jitahidi usizihesabie mbele ya watu mazingira sio rafiki tena,ni hayo tuu nadhani mmenielewa.