johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Mimi naamini hii ni serikali ya awamu ya 6 kwa sababu Rais Samia atapata fursa ya kugombea urais mwaka 2025 kukamilisha vipindi viwili vya kikatiba.
Ni vema serikali ikaliweka wazi hili ili wananchi waweze kufocus kwenye maono ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Ni vema serikali ikaliweka wazi hili ili wananchi waweze kufocus kwenye maono ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!