Bado DPP Biswalo Mganga baada ya Ole Sabaya

stupid aliyekuzaa, na akili zako fupi. Mfuate Jiwe kwenye kaburi shenzi mkubwa. Siwezi kusoma mavi uharo uliyoandika
Kubishana na jitu zuzu litakupandisha hasira bure! Kama mtu anaweza kusema hadharani kuwa mwendazake alikuwa mtu bora unahaja gani ya kuendelea naye majadiliano wakati kajitangaza yeye mwenyewe kuwa ni mpuuzi na mshabiki maandazi?
Hivi hawaoni jinsi hata aliyekuwa makamu wake anavyo m preempty hata siku 60 hazijapita? Bado kidogo tuu atasimama jukwaani ataita baadhi ya mambo yalikuwa ujinga
 
sisomi magazeti yako.... do not waste your time.
Umetumia matusi badala ya kujibu hoja. Hivyo nie ku ignore and I am blocking you now!
Nilitegemea ujibu hoja bila kunitukana. Unasahau kuwa ulisoma UDSM miaka hiyo ya 80s... mtu anayestahili kuelewa mambo na si mapenzi ya fulani.... na matusi....
Kauliza hivi, umeona umati wa watu kwenye mazishi ya jpm?
Nimecheka kidogo nicheue biriani langu la Iddi. Huyu mtu nadhani haelewi kitu gani kilikuwa kinafanyika au ni old fashion person.
Ukiuliza Dodoma na Mwanza nini kilitokea ndio utajua jinsi kuaga mwili huo wa jamaa shughuli ilivyokuwa inapigiwa promo na ma RC na DC kama Haji Manara anavyo inadi mechi ya Simba.
Kwa hali ya wa TZ hawa ambao wamenyimwa ajira na mitaji watakosa kujaa kuona burudani hiyo ya bure?
 
sisomi magazeti yako.... do not waste your time.
Umetumia matusi badala ya kujibu hoja. Hivyo nie ku ignore and I am blocking you now!
Nilitegemea ujibu hoja bila kunitukana. Unasahau kuwa ulisoma UDSM miaka hiyo ya 80s... mtu anayestahili kuelewa mambo na si mapenzi ya fulani.... na matusi....
Kama ume-block message sent...you are a coward...Mimi sijakutukana ...nimekuita mpumbavu na mshenzi ..hizi ndizo sifa zako...kuandika kuwa nimfuate JPM kaburini ndiyo upumbavu na ushenzi wenyewe...ni ugaidi...wewe una vimelea vya ugaidi pia.
 
Kama ume-block message sent...you are a coward...Mimi sijakutukana ...nimekuita mpumbavu na mshenzi ..hizi ndizo sifa zako...kuandika kuwa nimfuate JPM kaburini ndiyo upumbavu na ushenzi wenyewe...ni ugaidi...wewe una vimelea vya ugaidi pia.
coward mama yako
 
Kwani Mh. SSH hawezi kutengua kama alivyilofanya kwa Mkurugezi wa TPDC
Mkuu sema Afrika tuna shida why asijiuzulu makelele yote unapata wapi utulivu wa nafsi ,maana kazi yenyewe inageuka laana kwako ,familia ,simple solution is just to step down, ila Sasa ngonzi nyeuzi inang,ang,ana mpaka tone la dam ya MWISHO ,sijui nikuogopa maisha ya uraian, sababu ya kuzoea vya Bule! Mtu kama DPP kweli anaweza kosa kazi ya kufanya mtaani na kuishi vizuri bila kazi ya serikali?
 
coward mama yako
Haaaa ndiyo unaishia hivyo? Huna hoja zaidi? kwa comment yako Hii ya Sasa bila Shaka you are under 20...next time usirudie kubishana na watu wanaoijua vizuri nchi Hii..usikurupuke tena ....bila Shaka umeupata ujumbe...tuendelee kuijenga nchi...Kila awamu ya uongozi ilikuwa na mazuri na mabaya yake...kwa Sasa tumuunge mkono Mama Samia..Rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu...tumuombee aongoze kwa amani na kutupeleka mbele kimaendeleo...tuwaombee pia washauri wake wamshauri vizuri...umesikia dogo?
 
I
A stupid comment from a very very very stupid person and who deserves no respect at all...may be you don't know the history of how this belived country has been governed from one administration (phase) to another...Sasa nitakuambia;. Wakati was uongozi was Baba was taifa Mwalimu Nyerere kulikuwepo na malalamiko mengi pia kwa maamuzi yaliyofanywa kwa Nia njema...kulikuwepo na operesheni vijiji mwaka 1973, 1974 na 1975..watu wakahamishwa kutoka maju bani mwao, wakachomewa nyumba na hata mazao njaa kubwa ijatokea nchini mwaka 1974..maelfu kwa maelfu ya watu waliathirika kwa operesheni ile ..sisi wengine tulikuwepo na tuliona ingawa tulikuwepo wadogo..baba yangu alikuwa na nyumba nzuri kwa kiwango chake imeezekwa bati na ikabomolewa ili kutoa bati...miaka hiyo kukawa pia na operesheni maduka ili kuanzisha maduka ya ushirika...huko vijijini maduka ya watu binafsi mengi yakatoweka na bidhaa kuadimika...Mambo yakawa mabaya zaidi baada ya Vita na Uganda from 1978 to 1983 bidhaa hamna madukani shelves are empty tunapanga foleni kununua sukari, sabuni, Michelle na unga was njano maarufu Kama unga was Yanga...tulikuwepo na ration cards..kukawa na ulanguzi miubwa wa bidhaa ...akaja Sokoine kama wazuri mkuu akaanzisha operesheni ulanguzi...watu wakanyang'anywa nyumba wengine wakaziachia wenyewe nyumba zilizojengwa kwa dhuluma, watu wakazitupa tv baharini, wakatupa na fedha za wizi...Sokoine akiwa Waziri Mkuu akaruhusu watu binafsi kuleta bidhaa..kukawa na daladala za chai maharage, maduka binafsi yakashamiri...
halafu akaja Mwinyi mwaka 1985 maarufu Kama mzee was Ruksa...huyu Mambo yakawa mazuri ...akaruhusu karibu Kila kitu..watu wachache wakatajirika Azimio la Arusha likazikwa kule Zanzibar 1992..viongozi wakaruhusiwa kuwa na hisa kwenye makampuni..viongozi wakajitajirisha kwa wizi wa Mali za umma...akasaini mkataba na IMF..matibabu bure yakatoweka, ada za shule na vyuo ziksja ikawa hakuna elimu bure...Mdudu SAP akatawala kwenye maisha yetu..dezo hakuna Tena...1995 akaja Ben huyu naye akaja na yake...mashirika yakauzwa ingawa hili lilisnza kwa Mwinyi..watu wakanunua mashirika kwa bei POA....Ben akakazania kulipa madeni ya nje ili tuendelee kukopesheka...watu wakaumia lakini tumaendelea kipa madeni ya enzi za Mwinyi na Nyerere..tukapata kinachoitwa heshima kwa mabeberu na ' wakatupenda' kwa kuwa eti tunalipa madeni...MIKATABA YA MADINIikasainiwa, wakaja sijui Net group solutions ambao ni makaburu wa Afrika Kusini kuja kuongoza TANESCO wafanyakazi wakagoma FFU wakaja na kuwapiga viluvyo hao wafanyakazi ..makaburu yakai ngizwa kwa nguvu pale TANESCO na yakafanya yao na miaka michache yaliyokaa hapa nusura yakaushe mabwawa ya Mtera...Jambo pekee tunalokumbuka kwa mijamaa hiyo ni LUKU...mwaka 2015 akaja JK na nguvu mpya, Kasi mpya na Ari mpya..alingia kwa kura nadhani karibu asilimia 85 lakini 2000 kwenye kipindi chake Cha pili akapata juu kidogo ya asilimia 60...JK Kama wakio tangulia alifanya mazuri lakini matajiri na mabeberu wakafaidi vilivyo...watu wakawa hawalipi Kodi..fedha ikawa inatawala je unanijua Mimi ni Nani ikawa inatawala....

Akaja JPM akarudisha heshima ya Mtanzania wa kawaida .Mtanzania wa kaida akajiona kuwa kumbe naye Ana thamani katika nchi yake...MIKATABA ya madini ikasainiwa upya...Watanzania wakaambiwa nchi siyo maskini ila tunaibiwa na mabeberu na vibaraka wao wa ndani...dah..mabeberu wakakasirika na vibaraka wao wa ndani wakiwemo wafanyabiashara wa ndani wakakasirika..wezi wa Mali za umma wakakasirika...wapiga dili wakanuna Watanzania was kawaida wakafurahi..miundombinu Kama barabara madaraja yakajengwa, elimu bure ikarudi polepole kwa awamu, wapiga dili wakaumbuliwa hadharani akaunti za wapiga dili zikashikiliwa, viongozi wabovu wakaumbuliwa, wafanyakazi hewa karibu 20000 wakafurushwa nchi jirani waliokuwa wakituonea kiuchumi wakaipata...dah..JPM ..Baadhi wanaofurahia ...
I gree with your analyses partly. Though reading through each word sentence and paragraph, I find a lot of truth and equally some sort of biases in your presentation.

The thing that is missing and clear in your presentation is that you failed to say that we are failing as a nation because we lack continuity from regime to another on important national matters.

You blamed the first to the fourth face governing regimes. But seems in our to applause the 5th government regime. We also expected in your analysis to have shed some light on the darker side of this regime that in away you seem to embrace.

My take is unless we desist from supporting government regimes because are beneficiaries in away, then, let us get prepared for a tight tag of war that will never give us consensus on national matters.

The only way forward is to fight for constitutional changes and make sure that all
important matters of national development are prescribed therein.

One this issue succeeds then a leader will have limited options to persue his or her own path other than the one prioritise in the national goals. The political parties manifesto will by and large focus on the prescribed national goals.
 
I

I gree with your analyses partly. Though reading through each word sentence and paragraph, I find a lot of truth and equally some sort of biases in your presentation.

The thing that is missing and clear in your presentation is that you failed to say that we are failing as a nation because we lack continuity from regime to another on important national matters.

You blamed the first to the fourth face governing regimes. But seems in our to applause the 5th government regime. We also expected in your analysis to have shed some light on the darker side of this regime that in away you seem to embrace.

My take is unless we desist from supporting government regimes because are beneficiaries in away, then, let us get prepared for a tight tag of war that will never give us consensus on national matters.

The only way forward is to fight for constitutional changes and make sure that all
important matters of national development are prescribed therein.

One this issue succeeds then a leader will have limited options to persue his or her own path other than the one prioritise in the national goals. The political parties manifesto will by and large focus on the prescribed national goals.
Ok ok ok comrade...yours is a positive contribution...I did that purposefully...mine was an answer to those guys who think the fifth phase government was the worst govnt ever ...I was trying to remind them that even the past presidents made mistakes...
 
Ok ok ok comrade...yours is a positive contribution...I did that purposefully...mine was an answer to those guys who think the fifth phase government was the worst govnt ever ...I was trying to remind them that even the past presidents made mistakes...
But I think they were just reminding us that mistakes are usually made by human beings. Some people make faults out of good will. The same thing may have taken place in various regimes either deliberately or just by bad luck.


Therefore let us count on our leaders successes and stop pegging on their mistakes.

This kind of thinking will provide us energy to move on as children of Tanzania taking into consideration that our mother Tanzania is still a young nation less than a century old.
 
Tumesha sahau kuhusu maendeleo na kutatua kero za wananchi..............................wacha tuendelee kwanza kuchonga na kutengeneza majungu na fitina....
bandika....... bandua....... ...............tukija kushituka 2025 hiii hapa!!!

sisi wananchi hatutokuwa na msamaha kwa yeyote yule aliye chezea na kupoteza muda wa maendeleo ya wanchi.
 
But I think they were just reminding us that mistakes are usually made by human beings. Some people make faults out of good will. The same thing may have taken place in various regimes either deliberately or just by bad luck.


Therefore let us count on our leaders successes and stop pegging on their mistakes.

This kind of thinking will provide us energy to move on as children of Tanzania taking into consideration that our mother Tanzania is still a young nation less than a century old.
Sure sure..of course to a great extent you are right..but, you should correct your usage of concepts/words/terms..regime is an imperiliast word used to some govnts/countries not friendly to them .better use administration rather than regime...Have you ever heard people talking about an American regime? The word is mostly used to many third world countries..
 
Hawa hawana tofauti, kila mmoja ametenda high-level atrocities against innocent citizens.
Si sahihi kumuacha Mganga Biswalo na kumchunguza Ole Sabaya, hii ni double standards!
Kwa Biswalo ndio sahau kabisa! Huyo mwenzio ni Jaji. Kesho anaapishwa na hapo anakuwa "untouchable". CCM kivingine chini ya Mama!!!
 
Mkuu sema Afrika tuna shida why asijiuzulu makelele yote unapata wapi utulivu wa nafsi ,maana kazi yenyewe inageuka laana kwako ,familia ,simple solution is just to step down, ila Sasa ngonzi nyeuzi inang,ang,ana mpaka tone la dam ya MWISHO ,sijui nikuogopa maisha ya uraian, sababu ya kuzoea vya Bule! Mtu kama DPP kweli anaweza kosa kazi ya kufanya mtaani na kuishi vizuri bila kazi ya serikali?
Uko sahihi mkuu nchi yetu ina watu waoga wa maisha na full kujipendekeza hawawezi kufanya mambo ya taaluma zao
 
This just semantics and it all depends on where you went to school. My advise to you is, just concentrate on the context of the matter at hand and not otherwise.
Sure sure..of course to a great extent you are right..but, you should correct your usage of concepts/words/terms..regime is an imperiliast word used to some govnts/countries not friendly to them .better use administration rather than regime...Have you ever heard people talking about an American regime? The word is mostly used to many third world countries..
 
Kubishana na jitu zuzu litakupandisha hasira bure! Kama mtu anaweza kusema hadharani kuwa mwendazake alikuwa mtu bora unahaja gani ya kuendelea naye majadiliano wakati kajitangaza yeye mwenyewe kuwa ni mpuuzi na mshabiki maandazi?
Hivi hawaoni jinsi hata aliyekuwa makamu wake anavyo m preempty hata siku 60 hazijapita? Bado kidogo tuu atasimama jukwaani ataita baadhi ya mambo yalikuwa ujinga
dunia nzma inalaani jitu katili yeye anasema alikuwa mtu bora, kweli muda mwingine ni ku ignore mtu unapita
 
Back
Top Bottom