Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,270
- 40,080
Kumekuwa na mahitaji au matamanio ya kila mtu anayepata kipato kutamani kumiliki na kuishi kwenye nyumba kubwa.
Wapo wanaodunduliza au kupata mikopo, na hatimaye kufanikisha lengo hilo.
Na kuishi kwenye nyumba kubwa, huku umeajiriwa, kiuchumi sio ufahari ; kwa sababu inakuwa haikuingizii kipato, zaidi ya kukupa gharama.
Na inapotokea pale umeachishwa kazi, ndipo majengo hayo yanaanza kuchoka; bustani inakufa, vibarua vya ulinzi na usafi vinakufa n.k
Ushauri wa kibiashara na kuongeza kipato: Kwa nini usiigeuze hiyo nyumba yako kubwa, kuwa 'lodge' na kuanza kuingiza kipato? Ili ata pale utakapoachishwa kazi, uwe tayari una-uwezo wa kujisimamia?
NB: Kuajiriwa ni utumwa, na huna hatimiliki na hiyo ajira.
Wapo wanaodunduliza au kupata mikopo, na hatimaye kufanikisha lengo hilo.
Na kuishi kwenye nyumba kubwa, huku umeajiriwa, kiuchumi sio ufahari ; kwa sababu inakuwa haikuingizii kipato, zaidi ya kukupa gharama.
Na inapotokea pale umeachishwa kazi, ndipo majengo hayo yanaanza kuchoka; bustani inakufa, vibarua vya ulinzi na usafi vinakufa n.k
Ushauri wa kibiashara na kuongeza kipato: Kwa nini usiigeuze hiyo nyumba yako kubwa, kuwa 'lodge' na kuanza kuingiza kipato? Ili ata pale utakapoachishwa kazi, uwe tayari una-uwezo wa kujisimamia?
NB: Kuajiriwa ni utumwa, na huna hatimiliki na hiyo ajira.