Bajeti ya Ulinzi ya USA ni kubwa kuliko jumla ya bajeti ya Mataifa yote Duniani

BADGET ya ULINZI ya MAREKANI ni USD 778 billion. Anafuata mchina Kwenye 240 USD billion. Ukijulisha BADGET zote za ULINZI ulimwenguni hatufiki 778 billion USD. Anaebisha lete facts sio blah blah. USA yupo sana, Tena sana
Hakuna anayebisha kwa hilo maana US uwa gharama za kuunda vitu vyake siku zote ziko mara 20 zaidi ya nchi nyingine.
Ashaanza kula matunda ya vita ufaransa anataka wamuuze kamikaze drones za US zinaitwa sijui nini blades.
Yani vita ya Ukraine ni show off ya silaha maana hizo drones kazitumia Afghanistan ila hazikuwahi kupata umaarufu zmeupata kwenye vita hii nako katumia blade 300 sasa mfaransa nataka blade 600
 
Hakuna anayebisha kwa hilo maana US uwa gharama za kuunda vitu vyake siku zote ziko mara 20 zaidi ya nchi nyingine.
Ashaanza kula matunda ya vita ufaransa anataka wamuuze kamikaze drones za US zinaitwa sijui nini blades.
Yani vita ya Ukraine ni show off ya silaha maana hizo drones kazitumia Afghanistan ila hazikuwahi kupata umaarufu zmeupata kwenye vita hii nako katumia blade 300 sasa mfaransa nataka blade 600
Gharama kubwa ya kuendesha Bases zaidi ya 200 duniani.

Malipo makubwa ya mishahara

Contractors kibao

Utafiti
 
Cha ajabu ina history ya kupigwa na vitaifa vyenye bajeti ndogo ndogo
umenikumbusha wale wasomali pale mogadishu ile siku walipodondosha chopper ya jeshi la marekani halafu wakawachomoa maaskari na kuwaburuza mtaani huku wakiwa hai.

mmarekani kila akikumbuka hilo tukio anapata nightmares na kuogopa kukanyaga somalia mpaka leo.
 
umenikumbusha wale wasomali pale mogadishu ile siku walipodondosha chopper ya jeshi la marekani halafu wakawachomoa maaskari na kuwaburuza mtaani huku wakiwa hai.

mmarekani kila akikumbuka hilo tukio anapata nightmares na kuogopa kukanyaga somalia mpaka leo.
Aisee kile kipigo kilikuwa kitakatifu na majedhi yote duniani yalijifunza kitu kuhusu uvamizi wa vile. Hata waingereza wakati wanataka kuokoa wanajeshi wao kule sijui liberia sijui sierra leone walikumbuka hili tukio ikabidi waandae backup
 
Mapesa yenyewe si ndio hayo tunaambiwa wanaprint? Kama wanaprint na hazitoki kwenye kodi kuna shida gani?
Pili kuwa na budget kuubwa hakumaanishi wale wenye budget ndogo ndio hamna kitu. Nikupe mfano. Mtu wa kawaida mwenye ukwasi wa 5bln anaishi sawa na mtu mwenye 1bln. Kinachozidi hapo ni manamba tu. Yule mwenye bln 1 ana uwezo wasa na yule wa 5.
 
Hakuna anayebisha kwa hilo maana US uwa gharama za kuunda vitu vyake siku zote ziko mara 20 zaidi ya nchi nyingine.
Ashaanza kula matunda ya vita ufaransa anataka wamuuze kamikaze drones za US zinaitwa sijui nini blades.
Yani vita ya Ukraine ni show off ya silaha maana hizo drones kazitumia Afghanistan ila hazikuwahi kupata umaarufu zmeupata kwenye vita hii nako katumia blade 300 sasa mfaransa nataka blade 600
Switchblade kamikaze drones US wanazitumia kwa miaka zaidi ya kumi na hawajahi kupiga kelele. Hiyo kampuni ya AeroViroment ambayo hata siyo ya zamani, serikali ya Marekani ilipotoa msaada wa hizo munitions ndio Ufaransa ikakubali kazi yake na sasa wako na uwezekano wa kununua.

Hiyo sio show off, pale ni demand imeonekana. Mbona Marekani imeagiza advanced amphibious combat vehicles kutoka BAE Systems kampuni ya Uingereza wakati kwake anayo makampuni kibao, mbona ananunua heavy trucks za Iveco ya Italy. Watu wanaangalia performance
 
BADGET ya ULINZI ya MAREKANI ni USD 778 billion. Anafuata mchina Kwenye 240 USD billion. Ukijulisha BADGET zote za ULINZI ulimwenguni hatufiki 778 billion USD. Anaebisha lete facts sio blah blah. USA yupo sana, Tena sana
Ww unafikiri majasusi ya Kremlin lazima yafate budget!! hiyo ni siri yao wanaweza wakaweka figa kidogo lkn underground wanafanya mambo makubwa sana
 
Switchblade kamikaze drones US wanazitumia kwa miaka zaidi ya kumi na hawajahi kupiga kelele. Hiyo kampuni ya AeroViroment ambayo hata siyo ya zamani, serikali ya Marekani ilipotoa msaada wa hizo munitions ndio Ufaransa ikakubali kazi yake na sasa wako na uwezekano wa kununua.

Hiyo sio show off, pale ni demand imeonekana. Mbona Marekani imeagiza advanced amphibious combat vehicles kutoka BAE Systems kampuni ya Uingereza wakati kwake anayo makampuni kibao, mbona ananunua heavy trucks za Iveco ya Italy. Watu wanaangalia performance
Ile vita ni showcase ya silaha, ndio maana mziki wake umekubalika pale so ufaransa inasubiri tu serikali iipe go ahead kampuni kuiuzia ufaransa maana ambaye alishapewa kibali ni mwingereza.
 
Back
Top Bottom