M man dunga JF-Expert Member Oct 13, 2013 3,216 5,566 Jan 13, 2021 #1 Tumeshuhudia nyumba zenye thamani zikibomolewa kutokana na sababu mbalimbali. Je huko dunia ya kwanza na wao huwa wanabomoa nyumba wanapokuwa wanahitaji eneo ambalo nyumba imejengwa?
Tumeshuhudia nyumba zenye thamani zikibomolewa kutokana na sababu mbalimbali. Je huko dunia ya kwanza na wao huwa wanabomoa nyumba wanapokuwa wanahitaji eneo ambalo nyumba imejengwa?
Torque vs HP JF-Expert Member Jan 7, 2021 1,769 5,070 Jan 13, 2021 #2 Labda zile wanazojenga kwa kutumia 3d tech.
MIXOLOGIST JF-Expert Member Mar 1, 2016 12,686 31,470 Jan 13, 2021 #3 Wazo fikirishi, ila ni kitu kinachowezekana, its just a matter of time. Zamani zile nyumba za tembe ilikua rahisi zaidi
Wazo fikirishi, ila ni kitu kinachowezekana, its just a matter of time. Zamani zile nyumba za tembe ilikua rahisi zaidi
Mufti kuku The Infinity JF-Expert Member Sep 21, 2019 5,689 8,926 Jan 13, 2021 #4 Nyumba iliyojengwa full metal(chuma) inaweza kuwa rahisi hizi nyingine sasa🤔🤔