MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,586
Suala la katiba mpya na mikutano ya kisiasa vinazidi kuwanyima CCM usingizi. Badala ya kujibu hoja kwa majibu mujarabu wanaanza kuwatumia watu kama msajili wa siasa kufanya maigizo mbele ya umma. Kwanza haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
Jambo/mambo wanayodai washindani wenu yapo kisheria na kikatiba. Simameni mjibu hoja. Ninyi si chama kikongwe Africa? Ninyi si mlisimamia ukombozi wa kusini mwa africa?
Uoga wa kujibu hoja mmeutoa wapi? Mmerogwa?
Jambo/mambo wanayodai washindani wenu yapo kisheria na kikatiba. Simameni mjibu hoja. Ninyi si chama kikongwe Africa? Ninyi si mlisimamia ukombozi wa kusini mwa africa?
Uoga wa kujibu hoja mmeutoa wapi? Mmerogwa?