Badala ya kutembeza bakuli Canada JK angekwenda Uswisi kuomba majina ya waliowekewa mabilioni

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234
Ningekuwa mimi ni JK, ningeachana hiyo kazi ya akina Marehemu Matonya huko marekani na Canada, na badala yake ningekwenda moja kwa moja Uswisi nikapige kambi pale na kuongea na mamlaka ya Benki Kuu ya huko hadi wanipe majina ya vigogo wa serikali yake waliowekewa mabilioni katika akaunti za benki za nchi hiyo.

Benki Kuu ya Uswisi wangempa tu hayo majina, wasingemkatalia. Angekuja nayo hayo majina na kuanza mara moja kuwashughulikia wahusika, haidhuru kwa namna ile ya wale wa EPA mwaka 2008, warudishe hela au mahakamani.
 
Ningekuwa mimi ni JK, ningeachana hiyo kazi ya akina Marehemu Matonya huko marekani na Canada, na badala yake ningekwenda moja kwa moja Uswisi nikapige kambi pale na kuongea na mamlaka ya Benki Kuu ya huko hadi wanipe majina ya vigogo wa serikali yake waliowekewa mabilioni katika akaunti za benki za nchi hiyo.

Benki Kuu ya Uswisi wangempa tu hayo majina, wasingemkatalia. Angekuja nayo hayo majina na kuanza mara moja kuwashughulikia wahusika, haidhuru kwa namna ile ya wale wa EPA mwaka 2008, warudishe hela au mahakamani.

Akifanya hivyo nitakuwa wa kwanza kurudi CCM na kuchukua kadi. Hiyo orodha ya majina anaiogopa kama gonjwa la ukimwi.
 
Kusema lile la kweli, angekuwa ameiua CDM kwa urahisi sana.
 
Je,kama kuna jina la mwanae yule mwenye dar live na kampuni ya mafuta?
Na je kama akipewa na jina la yule swahiba yake ambaye hawakukutana barabarani?
 
Thubutu zake afanye hivyo. Hili suala litatinge Bungeni hivi karibuni kwa hoja ya Zito, ingawa nashangaa uamuzi wake wa kulitolea hoja, badala ya kuwataja tu majina ya vigogo hao kama vile alivyoahidi.

Lakini hata Bungeni halitafika popote, kwani mama Kiroboto atalizima kwa kisingizio kwamba tayari linashughulikiwa na Takukuru. Huyu mama haguswi kabisa na matatizo ya ufukara ya Watz, yeye ni kutetea mafisadi tu!
 
Ningekuwa mimi ni JK, ningeachana hiyo kazi ya akina Marehemu Matonya huko marekani na Canada, na badala yake ningekwenda moja kwa moja Uswisi nikapige kambi pale na kuongea na mamlaka ya Benki Kuu ya huko hadi wanipe majina ya vigogo wa serikali yake waliowekewa mabilioni katika akaunti za benki za nchi hiyo.

Benki Kuu ya Uswisi wangempa tu hayo majina, wasingemkatalia. Angekuja nayo hayo majina na kuanza mara moja kuwashughulikia wahusika, haidhuru kwa namna ile ya wale wa EPA mwaka 2008, warudishe hela au mahakamani.
Rais wetu ni mtu wa ajabu kidogo, aliwahi kutamka kuwa hajui kwa nini Tanzania ni masikini! Lakini jawabu lilitolewa na benki kuu ya Uswisi mwezi wa 6 mwaka huu, wakati walipoitangazia Dunia kuwa kwenye mabenki ya nchi yao, kuna watanzania 6 ambao wameficha huko pesa zipatazo shilingi bilioni 315, kwa hiyo naunga mkono kwa asilima 100 hilo wazo kuwa hakukuwa na haja ya yeye Rais wetu kwenda US na Canada kwenda kutembeza umatonya, bali kwa mamlaka aliyonayo, angeweza kabisa kuzipiga tanchi pesa hizo na kuwaamrisha wa-TZ hao 6 waturejeshee mabilioni yetu, haraka iwezekanavyo, kushikwa kwake kigugumizi kuchukua hatua hiyo,wa-TZ tunakuwa na ushahidi wa mazingira kuwa na yeye ni miongoni ya hao watanzania 6 walioweka hayo mabilioni huko uswisi!!
 
Ningekuwa mimi ni JK, ningeachana hiyo kazi ya akina Marehemu Matonya huko marekani na Canada, na badala yake ningekwenda moja kwa moja Uswisi nikapige kambi pale na kuongea na mamlaka ya Benki Kuu ya huko hadi wanipe majina ya vigogo wa serikali yake waliowekewa mabilioni katika akaunti za benki za nchi hiyo.

Benki Kuu ya Uswisi wangempa tu hayo majina, wasingemkatalia. Angekuja nayo hayo majina na kuanza mara moja kuwashughulikia wahusika, haidhuru kwa namna ile ya wale wa EPA mwaka 2008, warudishe hela au mahakamani.
Sisi wa-TZ tungeweza kuwasamehe hao walioweka hayo mabilioni huko Uswisi, kama angalau hao wanayoyamiliki wangeyarejesha kisirisiri kwa ile staili ya pesa za EPA, lakini safari hii tungeomba kiwepo chombo huru, kitakachohakiki urejeshwaji wa pesa hizo, ili tuepuke kupigwa changa la macho, kama lile tulilopigwa kwenye pesa za EPA!!
 
Ningekuwa mimi ni JK, ningeachana hiyo kazi ya akina Marehemu Matonya huko marekani na Canada, na badala yake ningekwenda moja kwa moja Uswisi nikapige kambi pale na kuongea na mamlaka ya Benki Kuu ya huko hadi wanipe majina ya vigogo wa serikali yake waliowekewa mabilioni katika akaunti za benki za nchi hiyo.

Benki Kuu ya Uswisi wangempa tu hayo majina, wasingemkatalia. Angekuja nayo hayo majina na kuanza mara moja kuwashughulikia wahusika, haidhuru kwa namna ile ya wale wa EPA mwaka 2008, warudishe hela au mahakamani.

Hivi hujuwi kuwa na yeye ni mmoja wao?
 
sasa kama na yeye na ndugu zake wana account huko itakuaje
Na hicho ndicho kitu kinachompa kigugumizi kikubwa cha kuongelea hayo mabilioni ya Uswisi, kwa kuwa katika uzi uliowekwa humu jamvini siku kadhaa zilizopita, jina lake, la mwanae Ridhiwani na maswahiba wake, mzee wa mamvi, mzee wa vijisenti na Rostam, wamo katika hiyo list ya waliotorosha hayo mabilioni na kuyaweka kwenye mabenki ya huko Uswisi!!!!
 
Ningekuwa mimi ni JK, ningeachana hiyo kazi ya akina Marehemu Matonya huko marekani na Canada, na badala yake ningekwenda moja kwa moja Uswisi nikapige kambi pale na kuongea na mamlaka ya Benki Kuu ya huko hadi wanipe majina ya vigogo wa serikali yake waliowekewa mabilioni katika akaunti za benki za nchi hiyo.

Benki Kuu ya Uswisi wangempa tu hayo majina, wasingemkatalia. Angekuja nayo hayo majina na kuanza mara moja kuwashughulikia wahusika, haidhuru kwa namna ile ya wale wa EPA mwaka 2008, warudishe hela au mahakamani.

imagine WAKAT ANAKABIDHIWA HIYO LIST NA YEYE ANAKUWEMO
 
Hivi hujuwi kuwa na yeye ni mmoja wao?

Itakuwa ajabu ya mwaka kama hayupo kwenye hiyo list. Hivi zile trilioni tatu za rafiki yake Shimbo aliyestaafu jeshi majuzi alizoficha bondeni kwa Zuma zimeishia wapi ama ndiyo yale ya 'FUNIKA KOMBE MWENDAWAZIMU APITE'
 
Sisi wa-TZ tungeweza kuwasamehe hao walioweka hayo mabilioni huko Uswisi, kama angalau hao wanayoyamiliki wangeyarejesha kisirisiri kwa ile staili ya pesa za EPA, lakini safari hii tungeomba kiwepo chombo huru, kitakachohakiki urejeshwaji wa pesa hizo, ili tuepuke kupigwa changa la macho, kama lile tulilopigwa kwenye pesa za EPA!!

bado unaamini KATIKA CHOMBO HURU????NCHI HII????
 
Mi huwa nachanganyikiwa kwa watu waliokuwa naye karibu na hata kumpitisha kuwa mgombea wa urais na hata kumpa nafasi ya kuchukua kipande chapili.
Huwa sipati picha ya uwezo wake wa akili ukoje. Hivi Kagame anaweza kutwa na hao farasi akaonekana kwenye picha.

MUNGU WETU NI WA AJABU NAYE AMEMPA URAIS WA NCHI KIMUUJIZA. NCHI HII HAINA KIONGOZI NAONA AIBU
 
Ningekuwa mimi ni JK, ningeachana hiyo kazi ya akina Marehemu Matonya huko marekani na Canada, na badala yake ningekwenda moja kwa moja Uswisi nikapige kambi pale na kuongea na mamlaka ya Benki Kuu ya huko hadi wanipe majina ya vigogo wa serikali yake waliowekewa mabilioni katika akaunti za benki za nchi hiyo.

Benki Kuu ya Uswisi wangempa tu hayo majina, wasingemkatalia. Angekuja nayo hayo majina na kuanza mara moja kuwashughulikia wahusika, haidhuru kwa namna ile ya wale wa EPA mwaka 2008, warudishe hela au mahakamani.

Ndiyo maana wewe siyo JK. Utaendelea kutoa maoni tu kwenye Jamiiforums.
 
Mi huwa nachanganyikiwa kwa watu waliokuwa naye karibu na hata kumpitisha kuwa mgombea wa urais na hata kumpa nafasi ya kuchukua kipande chapili.
Huwa sipati picha ya uwezo wake wa akili ukoje. Hivi Kagame anaweza kutwa na hao farasi akaonekana kwenye picha.

MUNGU WETU NI WA AJABU NAYE AMEMPA URAIS WA NCHI KIMUUJIZA. NCHI HII HAINA KIONGOZI NAONA AIBU

Jinyonge mwanangu, maana the guy is here to stay mpaka 2015 and there is absolutely nothing you can do about it. Ila kabla ya kuchukua hatua yoyote ya kujinyonga hakikisha unaandika ki-suicide note kizuri ili watu wakuelewe maana isije wakazushia mambo bure...
 
Jinyonge mwanangu, maana the guy is here to stay mpaka 2015 and there is absolutely nothing you can do about it. Ila kabla ya kuchukua hatua yoyote ya kujinyonga hakikisha unaandika ki-suicide note kizuri ili watu wakuelewe maana isije wakazushia mambo bure...

Penye red: Wewe unaijua mipango ya Mungu kwa nchi hii? Three years is a very long period in so far as politics is concerned -- hasa hizi politics za kifisadi.
 
Akifanya hivyo nitakuwa wa kwanza kurudi CCM na kuchukua kadi. Hiyo orodha ya majina anaiogopa kama gonjwa la ukimwi.

kwani hatukumbuki mhe Pinda alishasema kuna watu ukiwagusa nchi itatetereka???
 
Back
Top Bottom