Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Ningekuwa mimi ni JK, ningeachana hiyo kazi ya akina Marehemu Matonya huko marekani na Canada, na badala yake ningekwenda moja kwa moja Uswisi nikapige kambi pale na kuongea na mamlaka ya Benki Kuu ya huko hadi wanipe majina ya vigogo wa serikali yake waliowekewa mabilioni katika akaunti za benki za nchi hiyo.
Benki Kuu ya Uswisi wangempa tu hayo majina, wasingemkatalia. Angekuja nayo hayo majina na kuanza mara moja kuwashughulikia wahusika, haidhuru kwa namna ile ya wale wa EPA mwaka 2008, warudishe hela au mahakamani.
Benki Kuu ya Uswisi wangempa tu hayo majina, wasingemkatalia. Angekuja nayo hayo majina na kuanza mara moja kuwashughulikia wahusika, haidhuru kwa namna ile ya wale wa EPA mwaka 2008, warudishe hela au mahakamani.