Badala ya kununua Toyota Harrier nunua hii gari

Wauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).

sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue

View attachment 2052937
Ya Moto sana hii
 
Natoa siri mkubwa gari ukiona lilitoka na bei kubwaaa afu likadepreciate haraka sana likimbie hilo gari....
Japo wahuni wa tako la nyani hawatoweka rekodi za ukoo kama mwenye vogue

Ila mwenye vogue ataweka rekodi
Kwenye ukoo
Garage
Na sheli

Ah watu wa matako ya nyani wanapita kimyakimya hapa wanakuchora tu
Acha urongo. Mm nilishawahi kununua gari ya CIF 5500 USD (Xmass offer) kwa CIF 2,200 USD mwaka wa pili huu ni service ya kumwaga oil na majuzi nimebadilisha break pads tu. Berri bado Ile Ile iliyotoka Japan.
 
Wauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).

sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue

View attachment 2052937
Running costs ndio kimbembe
 
Harrier ni nyingi sababu RR ni gharama kumaintain. Hakuna sababu nyingine.
Mafuta kuna Toyota yana cc za kutosha na yapo.
Sio tu ni gharama, harrier ikila 2M inatulia kabisa😅 mwaka mzima au zaidi na vile ni gari ya juu juu sio swala. We ni mafuta tu!

Range Rover itakula 2M baada ya week 2 tena itataka ile laki 6 hujakaa sawa italilia 1.5M utaipa ikienda enda mwezi inakulilia 1M tena utaipa ikikaa week tatu inakula laki 8. Huu mchezo unaweza kufanywa na matajiri tu ila kwa mtu anayetegemea mshahara gari inaweza kumfilisi. Ndio sababu watu wanafia kwa mjapani.
 
Sio tu ni gharama, harrier ikila 2M inatulia kabisa😅 mwaka mzima au zaidi na vile ni gari ya juu juu sio swala. We ni mafuta tu!

Range Rover itakula 2M baada ya week 2 tena itataka ile laki 6 hujakaa sawa italilia 1.5M utaipa ikienda enda mwezi inakulilia 1M tena utaipa ikikaa week tatu inakula laki 8. Huu mchezo unaweza kufanywa na matajiri tu ila kwa mtu anayetegemea mshahara gari inaweza kumfilisi. Ndio sababu watu wanafia kwa mjapani.

Tatizo la wabongo wengi wanapenda muonekano, ukimwekea harrier na range atakimbilia range hata kama anashindia udagala na chumba cha kupanga
 
Wengi humu V8 wanaziona barabarani tu hawajui nini kinaendelea. Kuna mahali nili supply brake za mbele na nyuma za 2015 VW Touareg bill ilikuwa 480,000/- na hapo hapo kuna mtu aka supply front brake pads tu za V8 nafikiri ilikuwa 2012/14 hivi mkeka wake ni 400,000/- sikuamini.
Best friend wangu ana Y62 kanunua brand new Nissan hapo, sasa hivi haina hata 20,000km ina wobble ukishika brake, uchunguzi umeonesha ni brake disc zishalika bill 1.2m kila moja na haziko kwenye warranty. Hio gari ikienda service kuacha 800,000-1,200,000 ni kawaida sana.
Mie nimesimamia service ya Surf new model kuanzia dukani mpaka kwa mafundi. Ku replace coils bushes na new shockups yani fully suspension parts mbele na nyuma imekula 4.5M straight😅 vifaa vimefika 4M vyote na ufundi na mambo ya allignment sijui camber ndio inagonga 4.5M na hapo ni original parts za Toyota.

Shockups tu ni laki 8 hapo bado hujaweka coils ambazo ni laki 6 mbele tu! Ukija nyuma napo wembe ni ule ule😅😅😅 halafu anatokea mtu anasema Toyota ni rahisi ku maintain. Toyota Truck yoyote ya 4x4 sio rahisi asikudanganye mtu.

50C236ED-EBA1-4C1B-9ADD-435328171625.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom