Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Mimi nadhani badala ya kutumia nguvu kuubwaa kulazimisha aliyempiga risasi Lissu, Tunatakiwa kujiuliza kwa nini Lissu hakufa pamoja na kupigwa risasi zaidi ya kumi na tano mwilini kwake!!!
Baada ya hapo itupe kujifunza kuwa :
- Mungu hakuzuia Daniel asitupwe kwenye tundu la simba bali alimlinda na Simba wasimtafune.
- Mungu hakuzuia Meshack,Shedrack na Abednego kutupwa kwenye moto, bali alizima makali ya moto usiwaunguze.
- Hivyo Mungu hakuzuia Lissu asipigwe risasi, bali aliondoa nguvu ya risasi kumuua Lissu.
Subirini KUSUDI LA MUNGU LITIMIE'
Baada ya hapo itupe kujifunza kuwa :
- Mungu hakuzuia Daniel asitupwe kwenye tundu la simba bali alimlinda na Simba wasimtafune.
- Mungu hakuzuia Meshack,Shedrack na Abednego kutupwa kwenye moto, bali alizima makali ya moto usiwaunguze.
- Hivyo Mungu hakuzuia Lissu asipigwe risasi, bali aliondoa nguvu ya risasi kumuua Lissu.
Subirini KUSUDI LA MUNGU LITIMIE'