GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,385
- 108,441
1.Tuache kuwa Wanafiki
2.NGO’s zisitumie udhaifu wa Watanzania wengi kujineemesha
3.Wazazi tutekeleze majukumu yetu kiukamilifu
4.Tujikite kuwapa Elimu ya Uzazi Watoto ( Mabinti ) zetu
5.Maudhui mengi yasiyo ya Kimaadili hasa kwa Vijana na Mabinti zetu yadhibitiwe
6.Wazazi waache kuwafanya Watoto ( Mabinti ) zao mitaji yao ya kujipatia Mali
7.Jamii ielimishwe sana kuhusu madhara makubwa ya Utandawazi
Binafsi naungana kwa 100% kwa Kauli ya Kimamlaka na ya Kishujaa kabisa aliyoisema Mheshimiwa Rais wa JMT Dkt. John Pombe Joseph Magufuli jana huko Chalinze juu ya kuzuia na kukataa Wanafunzi wa Kike wanaopata Ujauzito wakiwa Shuleni.
Inahitaji umakini mkubwa sana na uwezo mkubwa wa Kutafakari kuweza kumwelewe Mpendwa Rais Dkt. Magufuli juu ya Kauli zake ambazo wengi wetu ‘ hukurupuka ‘ tu na kudhani kuwa ni ‘ dhaifu ‘ au ni ‘ mkatili ‘ au ana roho mbaya.
Namwelewa sana Rais Dkt. Magufuli na kamwe sijutii kumpa Kura yangu ya Kutukuka mwaka 2015 na narudia tena kusema kwa Kujiamini kabisa kuwa kwa muda mrefu sana baada ya Hayati Baba wa Taifa kung’atuka Madarakani sasa Tanzania imempata Rais ambaye pengine ilimuhitaji tokea mwaka 1985 kama siyo mwaka 1995 au 2005.
Kila la kheri Mheshimiwa Rais wangu mpendwa JPM na chapa kazi kwani tunakuamini, tutakuombea na tunakupenda mno.
Nawasilisha.
2.NGO’s zisitumie udhaifu wa Watanzania wengi kujineemesha
3.Wazazi tutekeleze majukumu yetu kiukamilifu
4.Tujikite kuwapa Elimu ya Uzazi Watoto ( Mabinti ) zetu
5.Maudhui mengi yasiyo ya Kimaadili hasa kwa Vijana na Mabinti zetu yadhibitiwe
6.Wazazi waache kuwafanya Watoto ( Mabinti ) zao mitaji yao ya kujipatia Mali
7.Jamii ielimishwe sana kuhusu madhara makubwa ya Utandawazi
Binafsi naungana kwa 100% kwa Kauli ya Kimamlaka na ya Kishujaa kabisa aliyoisema Mheshimiwa Rais wa JMT Dkt. John Pombe Joseph Magufuli jana huko Chalinze juu ya kuzuia na kukataa Wanafunzi wa Kike wanaopata Ujauzito wakiwa Shuleni.
Inahitaji umakini mkubwa sana na uwezo mkubwa wa Kutafakari kuweza kumwelewe Mpendwa Rais Dkt. Magufuli juu ya Kauli zake ambazo wengi wetu ‘ hukurupuka ‘ tu na kudhani kuwa ni ‘ dhaifu ‘ au ni ‘ mkatili ‘ au ana roho mbaya.
Namwelewa sana Rais Dkt. Magufuli na kamwe sijutii kumpa Kura yangu ya Kutukuka mwaka 2015 na narudia tena kusema kwa Kujiamini kabisa kuwa kwa muda mrefu sana baada ya Hayati Baba wa Taifa kung’atuka Madarakani sasa Tanzania imempata Rais ambaye pengine ilimuhitaji tokea mwaka 1985 kama siyo mwaka 1995 au 2005.
Kila la kheri Mheshimiwa Rais wangu mpendwa JPM na chapa kazi kwani tunakuamini, tutakuombea na tunakupenda mno.
Nawasilisha.