Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,291
- 8,202
Kwenu Watanzania wenzangu wa vyama vyote nchini,
Tunayo mengi ya kufanya lakini swala ajira linahitaji kujadiliwa kwa mapana na marefu na Watanzania wote, tusiwaachie wabunge peke yao wanao pokea mishahara kila mwezi.
Hili swala ni vyema likajadiliwa pia na watu wasio na ajira, wafanya biashara, wazee, watoto wa jinsia zote. Hapo ndipo tutakapoweza kupata suluhisho.
Kutegemea mbunge aliyeingia bungeni ili aajiriwe atoe mawazo yanayoweza kutatua tatizo la ajira Nchini ni kupoteza muda na wakati.
Mimi nina amini kuna watu wapo smart mtaani kuliko hata wabunge wetu. Nina hakika watu hawa wakipewa nafasi ya kutoa, hoja zao jinsi ya kutokomeza swala la ukosefu wa ajira Tanzania tutapata suluhisho.
Lakini wana siasa waliojipenyeza siasani baada ya kukosa ajira tusahau.
Watanzania tukae wote pamoja tujadili hili swala ili tutengeneze future za kizazi kijacho.
Hii nchi bado ni changa kuwa na hili tatizo la ukosefu ajira.
Rasilimali tunazo za kutosha, tumekosa watu smart ambao wanaweza kuzibadili rasilimali kuwa fursa.
Nawasilisha.
Tunayo mengi ya kufanya lakini swala ajira linahitaji kujadiliwa kwa mapana na marefu na Watanzania wote, tusiwaachie wabunge peke yao wanao pokea mishahara kila mwezi.
Hili swala ni vyema likajadiliwa pia na watu wasio na ajira, wafanya biashara, wazee, watoto wa jinsia zote. Hapo ndipo tutakapoweza kupata suluhisho.
Kutegemea mbunge aliyeingia bungeni ili aajiriwe atoe mawazo yanayoweza kutatua tatizo la ajira Nchini ni kupoteza muda na wakati.
Mimi nina amini kuna watu wapo smart mtaani kuliko hata wabunge wetu. Nina hakika watu hawa wakipewa nafasi ya kutoa, hoja zao jinsi ya kutokomeza swala la ukosefu wa ajira Tanzania tutapata suluhisho.
Lakini wana siasa waliojipenyeza siasani baada ya kukosa ajira tusahau.
Watanzania tukae wote pamoja tujadili hili swala ili tutengeneze future za kizazi kijacho.
Hii nchi bado ni changa kuwa na hili tatizo la ukosefu ajira.
Rasilimali tunazo za kutosha, tumekosa watu smart ambao wanaweza kuzibadili rasilimali kuwa fursa.
Nawasilisha.