PAND PIERI
Senior Member
- Jul 30, 2020
- 183
- 270
Kwa hali ilivyo sasa hivi hilo somo litamsaidiaje mwanafunzi kujikwamua kiuchumi baada ya kumalizia masomo yake? Kuna historia gani mpaka ifundishwe kwa miaka kumi na tatu tena kwa Kiswahili? Kwani masomo ya uraia na historia ya sasa hivi hayasaidii mwanafunzi kuijua Tanzania ipasavyo?
Ni muda mwafaka badala ya kuwekeza nguvu kwenye Somo la Historia ya Tanzania kwa Kiswahili tuwekeze nguvu kwenye masomo yanayohusu
1. Teknologia
2. Ujasiriamali
3. Kilimo na mifugo
4. Computer
5. Ufundi
6. Kuendeleza vipaji
Ili tuondoe changamoto ya ukosefu wa ajira na vijana wajikuamuwe kiuchumi.
Ni muda mwafaka badala ya kuwekeza nguvu kwenye Somo la Historia ya Tanzania kwa Kiswahili tuwekeze nguvu kwenye masomo yanayohusu
1. Teknologia
2. Ujasiriamali
3. Kilimo na mifugo
4. Computer
5. Ufundi
6. Kuendeleza vipaji
Ili tuondoe changamoto ya ukosefu wa ajira na vijana wajikuamuwe kiuchumi.