Nimeona eti inate mabilioni ya fedha ni kunusuru mashirika yaliyouza mazao kwa hasara.Kwanini fedha hizo zisiimarishe miundombinu kwa wafanyabiashara wenye nguvu na mitaji ya kutosha.Utaratibu huo utakaribisha udanganyifu kwani utajuaje ni nani kapata hasara na nani la. Nawasilisha.