Wadau walinibishia hapo juu!
Ila ni ukweli usiofichika soudy Na kile kipindi chake wanawaingizia clouds pesa ndefu sana ruge hawezi kubali msanii ambaye bado mdogo Dogo janja aharibu ile brand ya soudy!
Kumbuka walivyohangaika kurudisha kwenye peak wakati ule wa bashite
Ukweli utamuweka wazi kabisaWana hip hop hawako hivyo kashavunja miiko
Mkuu nakuona uko hapa kwenye jukwaa la kuwanadili wanaume wa dar es salaama japo unawaponda lakini mambo yao unayafuatilia.Wanajionea wenyewe wanashindwa kujitofautisha na nyie
''Aut Vincere Aut Mori''
Of course, nadhani pupa na hasira pia zilichangia.
Ya kulalia hii.Hicho kipindi anachofanya Sudi ilitakiwa kufanywa na wanawake, ila sawa anawawakilisha wanaume wa Dar
Hicho kipindi anachofanya Sudi ilitakiwa kufanywa na wanawake, ila sawa anawawakilisha wanaume wa Dar
Kwani kuna ubuyu gani hapo mkuu .....suura ni yake. ...mnashangaa non?Mkuu we utakuwa si wa Dar ila wanaume wa Dar watakubaliana nami
Mkuu umewaza kama Mimi...tena n tusi zito LA kumtukania mama...ni mtazamo wangu lakini[HASHTAG]#KLMY[/HASHTAG] hizi initials mbona kama tusi!!!?
Exactly!Mkuu umewaza kama Mimi...tena n tusi zito LA kumtukania mama...ni mtazamo wangu lakini